Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Hi guys me mgeni humu naomba mnipokee nahitaji ushirikiano wenu ,nawapenda saaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Enx myKarbu swaaana mkuu jukwaani
picha gan tena jamani kwan hio ya kwenye avatar haitoshi?Weka picha
ukiniita mkuu,itapendeza zaid.nakufundsha machache tu ya JFEnx my
sawa mkuuukiniita mkuu,itapendeza zaid.nakufundsha machache tu ya JF
kama yepi mkuu?ukiniita mkuu,itapendeza zaid.nakufundsha machache tu ya JF
[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] sante misskaribu cute ,,
kama hilo kuniita mkuu,pia kuwa makini tu unapopost kitu usikosee herufi ukitoa habar iwe ya uhakika.jf raha sana u will enjoykama yepi mkuu?
Ahsante mkuu kwa kunijuza ubarikiwe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]kama hilo kuniita mkuu,pia kuwa makini tu unapopost kitu usikosee herufi ukitoa habar iwe ya uhakika.jf raha sana u will enjoy
pm ndo nini?karibu mgeni.na karibu zaidi pm tuyajenge
🙂[emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] [emoji8] sante miss
private massage mnaona nyie tu huko ssi wengine hatuonipm ndo nini?
ndivyo tulivyo wanajf ubarikiwe sana nawe mkuuAhsante mkuu kwa kunijuza ubarikiwe [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Owky miss nashukuru kwa kunifahamishaprivate massage mnaona nyie tu huko ssi wengine hatuoni