Hiv bongo kuna sever za kuweka data za JF kwahyo unaidharau JF kuwa haiwez kua na server ulaya?Hahaaa ulaya ya bongo au??bas mwambie anitafute nimpe yangu na mim
Mgeni mbona mbishi hivyo?fuata maelekezo unayopewa.
kwahyo kitu kikitengenezwa tanzania hakiwez kua na server ulaya ndio unachotaka kusema?JF haiwezi kua na sever ulaya coz imetengenezwa bongo tofaut na social network nyingine
Hongera mkuu kwa kupata ID mpya. Itumie vizuri. Ile ID ya zamani vpi????Hio sheria mbona sijaiona ??
Ni jinsi gani?Ke au Me?
ban ni mnyumbuliko wa maneno ambayo moderator kwa mamlaka yake anachukua maelezo yako na kuyafungia kwenye server kwa kipind maalumu ukiwa hukoo utakua unauwezo wa kucomment ila hzo comment utaishia kuzisoma mwenyeweNo siijui,! ban tena??
Really?? So unataka kuni ban? What's wrong nimefanya?ban ni mnyumbuliko wa maneno ambayo moderator kwa mamlaka yake anachukua maelezo yako na kuyafungia kwenye server kwa kipind maalumu ukiwa hukoo utakua unauwezo wa kucomment ila hzo comment utaishia kuzisoma mwenyewe
sasa nikuban mie moderator?Really?? So unataka kuni ban? What's wrong nimefanya?