mambo

sammie

Member
Joined
May 11, 2010
Posts
15
Reaction score
0
Wanachama wa jamii forum wazima nyie? Tuko pamoko kwenye mtandao huu.
 
au unatutania ndugu yetu...karibu sana lakini
 
Sina utani au mnataka muone mavitu yangu? :hug:
 
Karibu ila naoana umeingilia mlango wa uwani manake umeamua kupitia kwenye utani na udaku. Si mbaya sana ni ugeni tu. Karibu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…