Wanaruhusiwa ila sio kuandaa maandamano! Kura zipigwe Arusha na "ziibwe" Arusha alafu maandamano ufanyie Ubungu?Kwa hiyo hawaruhusiwi kwenda Jijini Dar es Salaam
Ofisi za tume hazipo ArushaWanaruhusiwa ila sio kuandaa maandamano! Kura zipigwe Arusha na "ziibwe" Arusha alafu maandamano ufanyie Ubungu?
Aende kuandamana alipochukulia fomOfisi za tume hazipo Arusha
Umesima hilo katazo la Kulakula Mambosasa au unajibu tu sababu unadhani ni swali jepesi?Wanaruhusiwa ila sio kuandaa maandamano! Kura zipigwe Arusha na "ziibwe" Arusha alafu maandamano ufanyie Ubungu?
Wamehamia Dodoma! Tume waliandaa uchaguzi na kutoa matokeo ya kura tulizopiga sisi wananchi...njooni kwetu wananchi !Ofisi za tume hazipo Arusha
Ofisi za tume hazipo Arusha
Magufuli kaanza ukatili wake, kazi imeanzaKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Kwa mkurugenzi wilaya.Form za kugombea walichukulia wapi
Ofisi za tume hazipo Arusha
Haya ni maandamano yasiyokuwa na kikomo....leo ndio siku ya kwanza, aluta continua hadi Oktoba 2025. Anayedhani ataweza kuyazima maandamano haya anajichosha bure. Bora kuanzisha njia za kidiplomasia ili kupunguza makali ya maandamano siku za usoni.