Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,486
- 3,408
Kwani muda wa kuandamana umeisha? ni aluta continua!Tuma picha hapo ulipo tuone kama kweli umeandamana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani muda wa kuandamana umeisha? ni aluta continua!Tuma picha hapo ulipo tuone kama kweli umeandamana!
Wewe umezunguka mpaka wapi?Nyie wenzetu ni wajinga sijawahi kuona. Hayo maandamano yapo wapi?
Ametoa ushauri tu. Maaana wanataka kuleta vurugu huko Dar es salaam.Kuna watu hawajielewi, kwahiyo kama mimi ni mgombea Arusha mjini, siruhusiwi kwenda Dar?
Na hiii ndio sababu wameshindwa uchaguzi. Mfano Esther Bulaya alikuwa anashinda Kawe kwa Halima alafu Bunda amepasahau kabisa. Kwa hiyo watulie majumbani kwao.Wengi makazi yao ni Dar, majimboni walikaa kwa shughuli za ubunge. Hii nchi vipi hii.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Na hiii ndio sababu wameshindwa uchaguzi. Mfano Esther Bulaya alikuwa anashinda Kawe kwa Halima alafu Bunda amepasahau kabisa. Kwa hiyo watulie majumbani kwao.
Watu wasichekelee haya matamko kana kwamba yanawabana CHADEMA, Hii tabia ikiachiliwa tu bila kukemewa na raia wanatambua haki zao, iko siku hawa hawa viongozi wataamua hakuna kuingia mji fulani haijalishi unatoka chama gani , hapo ndio mtajua hamjui .
Sababu ya kushindwa uchaguzi ni kuwa CCM ilikuwa na matokeo yao mkononi. Ester jimboni anapendwa sana.Na hiii ndio sababu wameshindwa uchaguzi. Mfano Esther Bulaya alikuwa anashinda Kawe kwa Halima alafu Bunda amepasahau kabisa. Kwa hiyo watulie majumbani kwao.
Keshawahukumu kifungo cha nyumbaniKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Maandamano yamefeli tena. Tatizo muwe mnawasoma watanzania walivyo
Mbona hili halipo kwenye katiba wala sheria nyingine za nchi? Kama kashindwa bado anakuwaje akae huko huko? Kama ana mji Dar afanyeje? Au ndio detention ya ki-utu uzima?Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Maandamano yamefeli tena. Tatizo muwe mnawasoma watanzania walivyo
Wewe unasema kwa ushabiki,hata 2015 Ccm wangempitisha Maboto huyu dada yako asingeshinda.Sababu ya kushindwa uchaguzi ni kuwa CCM ilikuwa na matokeo yao mkononi. Ester jimboni anapendwa sana.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.