Vilabu vyetu vimekuwa vinatolewa mapema. Kule Misri ligi imeisha hata miezi miwili haijapita, ikaanza tenaMbona wabongo tumeweza
Baloteli Tena anahusikaje na simba em nieleweshe mkuu1. Mo
2. Mario Balotel
Wengine wote kuanzia Mangungu na wengine hadi Ahmed Ally ni .............
Ingekua ulaya ni simple sana ingepachikwa kati kati ya week tatizo Africa miundombinu ya usafiri ni kikwazoVikwazo kama hivi vya mgongano wa ratiba huenda vikaifanya CAF kuyafuta. Kuna ligi hizi mbili za Misri na South Africa, mara nyingi zimekuwa zinachelewa kumalizika sababu vilabu vya nchi hizo huwa vinafika mbali katika michuano ya Afrika. Sasa ukiongeza na AFL, nahisi kunaweza kukasababisha misimu ikaungana
Tuseme nini?HAYA MKUJE MSEME TENA