Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 9,016
- 24,650
Ushawahi kulifikiria hili pambano? Uenda ndio itakuwa mechi bora kuwahi kuchezwa kwa karne hii hapa Afrika. Nilitamani sana wakutane kwenye super cup ila waarabu walitibua msimu jana.
Ndizo timu za kibantu zinazocheza mpira mziri barani Afrika kwa sasa. Wanafanana style za uchezaji. Wote wanamiliki mpira, wote wanashambulia kama nyuki pale wanapohitaji goli, wote wanakabia kwenye nusu ya mpinzani, kubwa zaidi wote wana stamina na pumzi ya kumpelekea moto mpinzani dakika 90 kwa kasi ile ile.
Toumbe hii miamba ikutane hatua za mbele kwenye CAF champions league. Mpira utakaopigwa hautasahaulika.
Umekula?Umeshapata ajira?
Hajala huyu ana wivu na watu waliokula 😅Umekula?
Hapana,fanya hata liten mwl kilimba.Umekula?
Siku ya mwananchi ijayo waalikweUshawahi kulifikiria hili pambano? Uenda ndio itakuwa mechi bora kuwahi kuchezwa kwa karne hii hapa Afrika. Nilitamani sana wakutane kwenye super cup ila waarabu walitibua msimu jana.
Ndizo timu za kibantu zinazocheza mpira mziri barani Afrika kwa sasa. Wanafanana style za uchezaji. Wote wanamiliki mpira, wote wanashambulia kama nyuki pale wanapohitaji goli, wote wanakabia kwenye nusu ya mpinzani, kubwa zaidi wote wana stamina na pumzi ya kumpelekea moto mpinzani dakika 90 kwa kasi ile ile.
Toumbe hii miamba ikutane hatua za mbele kwenye CAF champions league. Mpira utakaopigwa hautasahaulika.
Nimuulize muwasibu wangu OKW BOBAN SUNZU aniangalizie akaunti yetu ya kampuni ina salio la shs ngapiHapana,fanya hata liten mwl kilimba.
Hebu acha taarifa za comedy na wewe watu tuko serious bhna na umenichekesha kweli 🤣🤣🤣🤣😅😅Ushawahi kulifikiria hili pambano? Uenda ndio itakuwa mechi bora kuwahi kuchezwa kwa karne hii hapa Afrika. Nilitamani sana wakutane kwenye super cup ila waarabu walitibua msimu jana.
Ndizo timu za kibantu zinazocheza mpira mziri barani Afrika kwa sasa. Wanafanana style za uchezaji. Wote wanamiliki mpira, wote wanashambulia kama nyuki pale wanapohitaji goli, wote wanakabia kwenye nusu ya mpinzani, kubwa zaidi wote wana stamina na pumzi ya kumpelekea moto mpinzani dakika 90 kwa kasi ile ile.
Toumbe hii miamba ikutane hatua za mbele kwenye CAF champions league. Mpira utakaopigwa hautasahaulika.
Hatua za mbele zipi hizo, we si umeshatoka hapohapo makundiUshawahi kulifikiria hili pambano? Uenda ndio itakuwa mechi bora kuwahi kuchezwa kwa karne hii hapa Afrika. Nilitamani sana wakutane kwenye super cup ila waarabu walitibua msimu jana.
Ndizo timu za kibantu zinazocheza mpira mziri barani Afrika kwa sasa. Wanafanana style za uchezaji. Wote wanamiliki mpira, wote wanashambulia kama nyuki pale wanapohitaji goli, wote wanakabia kwenye nusu ya mpinzani, kubwa zaidi wote wana stamina na pumzi ya kumpelekea moto mpinzani dakika 90 kwa kasi ile ile.
Toumbe hii miamba ikutane hatua za mbele kwenye CAF champions league. Mpira utakaopigwa hautasahaulika.