Unajiona Mungu sana wewe na Infinix lako.Punguza ujuha
Muda hujibu maswali yoteMashabiki wa yanga tuache kulalamika na kutaka kufika mahali ambapo hatujapapambania... Kama tunataka kucheza na mamelodi tujitahidi Kila mwaka kufika angalau robo caf... Sasa miaka 25 hatujacheza caf hao mamelodi tutakutana nao wapi sasa???
Kwamba?🤣🤣🤣Unajiona Mungu sana wewe na Infinix lako.
Yanga wamefanya tulichokua tunakishauriMuda hujibu maswali yote
Kupitia Hili Jifunze Kuwa Na Akiba Ya ManenoKuishi kwa shemeji Raha sana
Karibu Benjamin Mkapa Tar 29 - 30 Ushuhudie Pira SafiMimi simba damu lakini naitamani hiyo mechi
Kupitia Hili Jifunze Kuwa Na Akiba Ya ManenoMtu kama huyu ataendelea kutafuta tu ajira , kiazi kweli
Hebu acha taarifa za comedy na wewe watu tuko serious bhna na umenichekesha kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28]
Hatua za mbele zipi hizo, we si umeshatoka hapohapo makundi
Yanga ipi?? Hawa hawa utopolo?
Ni suala la muda
Yanga msimu huu ni Bingwa wa Afrika.
Hakuna cha Al Ahly wala Mamolodi wa kuwazuia.
Mpira wanaocheza sio wa Afrika hii.
Kocha wa timu fulani alisha tamka Yanga inacheza Kama timu za Ulaya.
Ni kweli