Kaweka ya kwakeUshabiki wa mpira Tanzania umevuka kiwango na kuwa ushenzi na upum*bavu uliopitiliza.
Pia ulimbukeni wa TEHAMA unachangia kuwa na idadi kubwa ya wachambuzi na wanahabari feki.
Unayaweka maoni na mahaba Yako binafsi kuwa Sheria au siyo?
Ushabiki wa mpira Tanzania umevuka kiwango na kuwa ushenzi na upum*bavu uliopitiliza.
Pia ulimbukeni wa TEHAMA unachangia kuwa na idadi kubwa ya wachambuzi na wanahabari feki.
Unayaweka maoni na mahaba Yako binafsi kuwa Sheria au siyo?
Sawa seniorKaweka ya kwake
Na kwanini usiweke yako?
Kuruta una tabu sana panda hata cheo jitahidi
Kuna nyuzi huwa nazikumbuka, ikiwemo utabiri wa kombe la shirikisho na kelele za hatumtaki Robertinho zitaishia kwa Yanga kufungwa na Ihefu huku Simba ikishinda dhidi ya Prisons. Ngoja tione safari hii kama utapatia tena basi upewe tuzo za mbashiri bora hapa jukwaani
Wewe ndo unaloweshaAmka utalowesha godoro
Mkuu Unapaswa Kua Nabii Wewe Aisee Ulijuaje Kama Leo Kuna Sare ya 0-0 Naanza Kuamini Hii Nyuzi Yako Hapa JamviniMimi sidhani kama mamelodi itawatoa yanga ni suala la Muda tu
Shikeni maneno yangu haya mamelodi akiwatoa yanga mniite mbwa nimekaa hapa.
Na sio kwamba naongea kishabiki maana kuna wengine wanakuwa na tabia ya kusema Mashabiki wa yanga hawana akili Sawa sijui nini.
Ila ukweli Mamelodi watakutana na kile walicho kutana nacho mechi ya wydad
Wata droo dar es Salam 0-0.
Wanaenda kuangukia kwao uko sare ya 1-1
Ni swala la Muda tu
Chambua...!!Ushabiki wa mpira Tanzania umevuka kiwango na kuwa ushenzi na upum*bavu uliopitiliza.
Pia ulimbukeni wa TEHAMA unachangia kuwa na idadi kubwa ya wachambuzi na wanahabari feki.
Unayaweka maoni na mahaba Yako binafsi kuwa Sheria au siyo?
Unatumia methodology gani kutabiri?Mimi sidhani kama mamelodi itawatoa yanga ni suala la Muda tu
Shikeni maneno yangu haya mamelodi akiwatoa yanga mniite mbwa nimekaa hapa.
Na sio kwamba naongea kishabiki maana kuna wengine wanakuwa na tabia ya kusema Mashabiki wa yanga hawana akili Sawa sijui nini.
Ila ukweli Mamelodi watakutana na kile walicho kutana nacho mechi ya wydad
Wata droo dar es Salam 0-0.
Wanaenda kuangukia kwao uko sare ya 1-1
Ni swala la Muda tu