Super Cup ipi unaongelea wewe hujui mpira wa Afrika kaa utulieSuper cup wamechukuwa timu gani? Tanzania imejaa mashabiki uchwara na wachambuzi mavi.
[emoji16]Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.
Imepigwa ndani nje
Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10
Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana
Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
KWahiyo toka 2016 Mamelod mafanikio pekee kwenye Caf champions league wanayoweza kujivunia ni kumfunga Al Ahly 5 na kupata matokeo Cairo?Wakati wanawapiga mkono Al Ahaly mlikuwa wapi?
Mamelodi ndio timu pekee nimeishuhudia ikipata matokeo Cairo.
Mamelodi ndio mabingwa wa Super cup.
Bongo mmejaa vichambuzi uchwara, soka la South Africa sasa hivi linatawaliwa na Mamelodi hakuna cha Orlando wala Kaizer Chief.
Basi tuseme Mamerod ni mbovu ila Yanga ni mbovu mara 3 ya Mamerody.KWahiyo toka 2016 Mamelod mafanikio pekee kwenye Caf champions league wanayoweza kujivunia ni kumfunga Al Ahly 5 na kupata matokeo Cairo?
sasa hiyo ni timu kweli yenye malengo? Yaani kila mwaka ni robo fainali kama simba au waokote kibonde robo waishie nusu shughuli imekwisha (maana nusu hakuna kibonde) unakuja
kutuambia ni timu tishio Afrika
Sasa kuna maana gani umfunge Al Ahly 5 then ukatolewe robo fainali na Petro de Luanda kwa kushindwa kushinda hata mechi moja kati ya 2
Wydad Casablanca hawajawahi kumfunga Al Ahly 5 wala kushinda mchezo cairo ila ni mabingwa wa Champions league mwaka 2022.
Hata hao Esperance wamefika Final jana na ni mabingwa 2019 sio kwa kumfunga Al Ahly 5 au kwa kushinda Cairo
Huwezi kuwa bingwa wa afrika kwa kumfunga Al Ahly pekee, ubingwa hauji kwa mechi moja
Braza hebu nipe elimu ya upatikanaji wa hizi nyota...na timu kubwa yenye nyota moja kwenye jezi.
Mechi 4 bro za CAFCL toka robo hawajashinda wala kugusa nyavu.Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.
Imepigwa ndani nje
Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10
Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana
Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Kabisa, wewe umenielewa vyemaBasi tuseme Mamerod ni mbovu ila Yanga ni mbovu mara 3 ya Mamerody.
Sio makoena, sema Rage FC.Halafu wabongo sasa
Utaskia aaah mokoena hatari kwa faulo
Kumbe ujinga mtupu mkude tu alimzima
Mara hiii Mamelodi Wabovu 😅 tuliwauliza hapa waseme kabisa kabla hatujacheza nao wakasema sio wabovu...Yamekuwa hayo tena jamani? Mara hii mmesahau Ubuntu Botho?
Timu huwa zinapanda na kushuka,Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.
Imepigwa ndani nje
Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10
Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana
Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Timu ipo ila haina washambuliaji, washambuliaji wao ni kama washambuliaji wetu, nafasi 10 goli mojaHamna timu pale dada angu,
Kama umeangalia mechi ya leo lzm utakubaliana na mimi, Simba Ina nafuu
Oohh kwahiyo mara hii ninyi mmeshakuwa wabovu siyo bora tenaUbora gani? Hebu utaje .
Tukuulize kwanza uthibitishe ubora wao uliousema wao bora na hawana hata goli tangu makundi walipomfunga pyramid ..
Sasa ubora wao uko wapi?
Nj team average sawa tu na kina yanga
Ndio sasa kwani hayo yote ni uongo si ni ukweli yani hiyo mbinu mliyoitumia ya kupaki basi timu yoyote hata ihefu wangeitumia wasingefungwa, mshukuru hata watu walivyokuwa wanawahype hao mamelodi iliwasaidia kucheza kiuogauoga, vinginevyo mngerelax mngefunguka mngekula nyingiNadhani nyie ndiyo mna vigezo vyenu ila ukweli upo wazi
Mnahype sana vitu kuliko uhalisia.
Tukumbuke kabla yanga hawajakutana na mamelodi.
Kauli zenu zilikuwa
"Alliende thamanj yake unapata kikosi kizima yanga"
"Yanga akitoboa sana anakula 5"
"Mamelodi walishampiga Al ahly 5"
"Kuna mokoena pale kati yanga watajjta"
"Pale Loftus stadium huwaga hatoki mtu"
Wakati hawakupata hata goli moja wajameni ni penati zikawaokoa sababu ya sisi kushindwa kutumia nafasi za wazi kabisa ambazo wao hawakupata ..
Wakubwa wako final kama unavyoona haya hao mamelodi unaodai wakubwa wako wapi????
Kwa msimu huu mamelodi wamedrop sana, mno ukilinganisha na misimu mitatu iliyopita. Bado naiona kama timu tishio kufanya kwake vibaya ni kawaida sana kwenye mpira wa miguu vilabu vingi hukumbwa na hali hiyo.
Basi waambie mashabiki wenzio wa yanga waache kujiita wakubwa, sisi simba tunajijua kwamba ni wa kawaida sana wala hatuna ukubwa wowote, ila ninyi kutinga tu hatua ya makundi mkaanza kujiona wakubwa sanaMbona kila siku huwa tunaongea hapa, hata Simba inavyojiita kubwa kimataifa huo ukubwa unatoka wapi. Sio Simba sio Yanga inamzidi ukubwa Zamalek hata kama hatumuoni klabu bingwa.
Ni timu ya kutisha kama ilivyo man city ila sio timu kubwa.1. Misimu wa mwaka 2024 mamelodi katolewa nusu fainali na esperence
2. Msimu wa mwaka 2023 mamelodi alitolewa nusu fainali na Waydad
3.Msimu wa mwaka 2022 mamelodi alitolewa robo fainali na Petro Atletico.
Kwa ujumla Katika miaka 10 iliyopita.
Mamelodi kafika nusu fainali mara 3.
Kafika fainali mara 1.
Na kombe amebeba mara 1 mwaka 2016.
Hiyo ndio CV ya mamelodi inatangazwa ni timu kubwa sana ya kutisha