KWahiyo toka 2016 Mamelod mafanikio pekee kwenye Caf champions league wanayoweza kujivunia ni kumfunga Al Ahly 5 na kupata matokeo Cairo?
sasa hiyo ni timu kweli yenye malengo? Yaani kila mwaka ni robo fainali kama simba au waokote kibonde robo waishie nusu shughuli imekwisha (maana nusu hakuna kibonde) unakuja
kutuambia ni timu tishio Afrika
Sasa kuna maana gani umfunge Al Ahly 5 then ukatolewe robo fainali na Petro de Luanda kwa kushindwa kushinda hata mechi moja kati ya 2
Wydad Casablanca hawajawahi kumfunga Al Ahly 5 wala kushinda mchezo cairo ila ni mabingwa wa Champions league mwaka 2022.
Hata hao Esperance wamefika Final jana na ni mabingwa 2019 sio kwa kumfunga Al Ahly 5 au kwa kushinda Cairo
Huwezi kuwa bingwa wa afrika kwa kumfunga Al Ahly pekee, ubingwa hauji kwa mechi moja