Sikusema kama Mamelodi ni timu bora bali nimemjibu huyo aliyotoa hoja kuwa Al Ahly hufungwa na Mamelodi kwasababu ya mbinu za nje ya uwanja, kwamba ingekuwa ndio sababu basi tungeshuhudia hao Al Ahly kupata matokeo chanya nyumbani kwao dhidi ya Mamelodi.Hivi sifa ya timu bora ni kumfunga Al ahly tu ?
Mbona makombe ya ligi ya mabingwa africa mamelodi huwa habebi ?
Timu zinazoshiriki ligi ya mabingwa kila msimu ni zaidi ya 50. Why timu isifiwe kwamba ni bora kwa mfano huo huo kuifunga timu moja tu Al ahly
Hivi sifa ya timu bora ni kumfunga Al ahly tu ?
Mbona makombe ya ligi ya mabingwa africa mamelodi huwa habebi ?
Timu zinazoshiriki ligi ya mabingwa kila msimu ni zaidi ya 50. Why timu isifiwe kwamba ni bora kwa mfano huo huo kuifunga timu moja tu Al ahly
Ah Alhy kwa Afrika ni giant ni lidude likubwa”,. Kumfunga kwa kujirudia rudia ina maana huyo mtu ni bora kwake”,. Inaweza ukawa ubora wa wakati.
Mamelody ilianza kuzungumzwa baada ya kumfua Al Alhy tano, mara mbili na kitendo cha kumfunga pale Cairo kitu ambacho wakubwa wengi wa wakati huo na sasa ilikuwa shughuli pevu.
Japo sio kigezo cha moja kwa moja kuthibitisha ni bora. Ukitaja timu 5 bora Afrika Mamelody hauwezi kumtoa. Ukimlinganisha Mamelody na timu za ukanda wa kaskazini mwa Afrika kama timu nne hivi yeye si bora ila kwa ukanda wetu wa jangwa la sahara thry are excellent
Sasa tukianza kuleta hizi propaganda basi tutasingizia kila klabu ina figisuNadhani ninyi ndio mlioleta sifa za uongo mitandaoni.
Al Ahly kufungwa goli 6 kwa mbinu za nje ya uwanja siyo ajabu.
Hizi zikikuwa figisu tu kama za yanga kwa Simba.Uchawi jumlisha kuchezesha timu kwenye uwanja wenye mazingira magumu haiwezi kuipa sifa mlizokuwa mnatoa
Kuna watu walisema eti ndo kiboko ya waarabu!...Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.
Imepigwa ndani nje
Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10
Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana
Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa