Ah Alhy kwa Afrika ni giant ni lidude likubwa”,. Kumfunga kwa kujirudia rudia ina maana huyo mtu ni bora kwake”,. Inaweza ukawa ubora wa wakati.
Mamelody ilianza kuzungumzwa baada ya kumfua Al Alhy tano, mara mbili na kitendo cha kumfunga pale Cairo kitu ambacho wakubwa wengi wa wakati huo na sasa ilikuwa shughuli pevu.
Japo sio kigezo cha moja kwa moja kuthibitisha ni bora. Ukitaja timu 5 bora Afrika Mamelody hauwezi kumtoa. Ukimlinganisha Mamelody na timu za ukanda wa kaskazini mwa Afrika kama timu nne hivi yeye si bora ila kwa ukanda wetu wa jangwa la sahara thry are excellent