Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

Mamelodi mtoto mdogo sana .

Hata ENYIMBA tu hamfikii.. unaanzia wapi kumuweka level za wakubwa
Eti ni team tishio
Tishio la wapi sasa?
Ujue wabongo tunapenda sana kukuza vitu vya nje bila sababu

Ukiangalia huyo mamelodi kama ni makombe kaachwa hata na mazembe amebeba mara 5
 
AFL ni bonanza. Ni mashindano ambayo timu 8 tu zinashiriki kwa kualikwa.

Na hizo timu ni 8 tu huwa zinaalikwa tu hakuna qualification maalumu. Mashindano ya timu 8 tu . Hayafai kuwa kigezo cha kupima ubora wa timu.

Mashindano ya caf champions league yanashirikisha timu zaidi ya 50. Na hizo timu zinapatikana kwa kigezo xha kuwa bingwa kwenye ligi zao ama kuwa mshindi wa pili. Hivyo hata timu ndogo kama biashara utd ama Tanzania prison huwa zinashirikishwa kwenye kupatikana kwa washiriki wa caf champions league
Tunazungumzia Champios League michuano inayotoa bingwa wa Afrika anayekwenda kuwakilisha bara zima kwenye Fifa club world cup michuano inayomfanya Mamelod kila mwaka asotee robo fainali ama nusu kutokana na vigogo anaokutana nao tena wakiwa serious kuna kitu wanatafuta, sasa unakuja unazungumzia AFL michuano ambayo ukitoa hela ya mshindi hamna purpose wala heshima yoyote kwa timu iliyoshinda ulitaka Al Ahly na Wydad watoe macho kihivyo?
We hujiulizi why ikiwa champions League Ahly lazima umkute fainali?

Caf waipandishe hadhi hiyo AFL iwe michuano namba moja inayotoa bingwa wa Afrika uone huyo Mamelod aliyechukua hii mara moja wakati wa majaribio kama hajarudi kwenye default mode yake ya robo na nusu kila mwaka

Ahly wanataka heshima ya Afrika siyo kuweka kombe tu bila malengo unakuwa bingwa hueleweki bingwa wa nini huongezi points wala huna kwa kuwakilisha na huo ubingwa wako sasa hilo si sawa na MAPINDUZI CUP lenye hela nyingi.
 
Katika hizo 5 za mwisho. Esperence na yeye aliokota ubingwa.

Esperence Sio mnyonge kwenye kutwaa mataji ya ligi ya mabingwa Africa
Yeah kwenye 5 za mwisho
Esperance 01
Wydad 01
Al Ahly 03
Atleast tuongelee hao sio tuzungumzie timu kwenye miaka mitano ya mwisho sio tu kubeba hata kunusa fainali moja hakuna.
 
Nakiri kwamba Hersi alizingua kusema fainal ni Al ahly na Mameloids
Tuweke akiba ya maneno! Ningekua ni mimi ningejibu
' Timu yoyote iliyojipanga vyema inaweza kucheza fainal inaweza ikasa ni Al ahly, Yanga, Mamelod hata TPM'

Hersi pia alichangia kuwakuza sana wale Simba B
 
Yanga wamezuia wasifungwe na mamelodi sawa

Na mamelodi pia wamezuia wasifungwe na yanga pia
Tunaangalia takwimu za game nanj alipata nafasi nzuri?

Yanga wamezidiwa na mamelodi kwenye uwekezaji lakini uwanjanj hawakufunga goli moja hao wasauzi

Kama mamelodi ni bora sana mbona walishindwa kuifunga yanga mbovu?

Team bora hushinda match haijalishi ni ngumu vipi? Wao walishindwa ninj kuifunga yanga mbovu?

Al ahly aliifunga yanga moja wao walishindwa ninj kuifunga yanga mbovu?

Mpira wenu wa mdomoni na ujanja ujanja
Si ndio maana nikasema mamelodi kushindwa kuwafunga yanga maana yake yanga wamefikia ubora wa mamelodi, sasa mbona hamueleweki amueni moja basi ninyi ni bora au wabovu maana ninyi mnajiita timu bora ilihali hamjafikia walipofikia mamelodi ambao mnawaita wabovu, yani yanga ni kama mna vigezo vyenu wenyewe vya kurate ubora na ubovu wa timu
 
ninyi mnajiita timu bora ilihali hamjafikia walipofikia mamelodi
Ubora gani? Hebu utaje .

Tukuulize kwanza uthibitishe ubora wao uliousema wao bora na hawana hata goli tangu makundi walipomfunga pyramid ..

Sasa ubora wao uko wapi?

Nj team average sawa tu na kina yanga
 
yanga ni kama mna vigezo vyenu wenyewe vya kurate ubora au ubovu wa timu
Nadhani nyie ndiyo mna vigezo vyenu ila ukweli upo wazi
Mnahype sana vitu kuliko uhalisia.

Tukumbuke kabla yanga hawajakutana na mamelodi.
Kauli zenu zilikuwa

"Alliende thamanj yake unapata kikosi kizima yanga"

"Yanga akitoboa sana anakula 5"

"Mamelodi walishampiga Al ahly 5"

"Kuna mokoena pale kati yanga watajjta"

"Pale Loftus stadium huwaga hatoki mtu"

Wakati hawakupata hata goli moja wajameni ni penati zikawaokoa sababu ya sisi kushindwa kutumia nafasi za wazi kabisa ambazo wao hawakupata ..

Wakubwa wako final kama unavyoona haya hao mamelodi unaodai wakubwa wako wapi????
 
Nakiri kwamba Hersi alizingua kusema fainal ni Al ahly na Mameloids
Tuweke akiba ya maneno! Ningekua ni mimi ningejibu
' Timu yoyote iliyojipanga vyema inaweza kucheza fainal inaweza ikasa ni Al ahly, Yanga, Mamelod hata TPM'

Hersi pia alichangia kuwakuza sana wale Simba B
Aliongea kama raisi wa vilabu Africa sio kama rais wa yanga


Jamaa mjanja mjanja sana huyu injjnia anataka yanga isifuatiliwe sana huku anapiga progress kimya kimya

Wakishtuka tupo mbali tayari
 
Timu kutolewa sio ubovu sometimes football ina wonders juzi tu hapo Madrid kamtoa Man city ki ajabu ajabu
 
Caf champions league wana mafanikio gani recently?

Hao kuongoza makundi ni kawaida yao tena huongoza kwa points nyingi sana kila msimu ila wakienda sana mwisho nusu fainali na ujue walimuokota kibonde robo fainali vinginevyo robo tu shughuli yao imeisha

Timu haijawahi kucheza fainali ya klabu bingwa toka mwaka 2016 unadhani ni kwa bahati mbaya.

Al Ahly na Wydad wamegawana vikombe kwenye fainali tano za mwisho yeye hajaweza kuchallenge hata mwaka mmoja zaidi ya kumkamia Al Ahly tu kwenye makundi akipangwa nae
Kibonde huyu anaetupiga kila siku?
 
Nadhani nyie ndiyo mna vigezo vyenu ila ukweli upo wazi
Mnahype sana vitu kuliko uhalisia.

Tukumbuke kabla yanga hawajakutana na mamelodi.
Kauli zenu zilikuwa

"Alliende thamanj yake unapata kikosi kizima yanga"

"Yanga akitoboa sana anakula 5"

"Mamelodi walishampiga Al ahly 5"

"Kuna mokoena pale kati yanga watajjta"

"Pale Loftus stadium huwaga hatoki mtu"

Wakati hawakupata hata goli moja wajameni ni penati zikawaokoa sababu ya sisi kushindwa kutumia nafasi za wazi kabisa ambazo wao hawakupata ..

Wakubwa wako final kama unavyoona haya hao mamelodi unaodai wakubwa wako wapi????
Simba alipigwa nje ndani mkachonga sana, ohh tumebaki mabingwa watupu Sasa huyo bingwa wako nae kapigwa nje ndani
 
Takwimu zinaonesha kuwa Mamelodi ndiyo vibonde ukiangalia timu hizi nne zilizoingia nusu fainali.

Bila shaka Hersi na wachambuzi uchwara wataelewa kuwa uwekezaji pekee haukubebi kwenye football.
 
Nakiri kwamba Hersi alizingua kusema fainal ni Al ahly na Mameloids
Tuweke akiba ya maneno! Ningekua ni mimi ningejibu
' Timu yoyote iliyojipanga vyema inaweza kucheza fainal inaweza ikasa ni Al ahly, Yanga, Mamelod hata TPM'

Hersi pia alichangia kuwakuza sana wale Simba B
Sio hersi tu...watanzania karibu wote mliwatukuza kabla

Ila uzuri watanzania huwa wanafiki ..unafiki unawasaidia sana
 
Simba alipigwa nje ndani mkachonga sana, ohh tumebaki mabingwa watupu Sasa huyo bingwa wako nae kapigwa nje ndani
Wanaopigwa nje ndani wanajulikana..
Unapigwa nje ndani kimataifa cafcl
Unapigwa nje ndani kitaifa nbcpl
 
Timu ya mchongo kinoma kila mwaka wanaipa hype unaweza kudhani ni mabingwa watetezi kumbe ni timu ya kuishia robo na nusu fainali kila mwaka
Hata huo mwaka walimpiga Al Ahly 5 kwenye group stage waliishia nusu fainal wenzao wakienda kubebs ndoo
Yaani timu toka 2016 mafanikio yake makubwa champions league ni kumfunga 5 Al Ahly.
Kuliko hao wapuuzi bora hata kumwamini Wydad au Esperance au hata Mazembe wanaweza kufanya kitu sio hao timu ya mchongo na wachezaji wa gharama kubwa wenye uwezo wa kawaida.
Na kama Wydad atazidi kuyumba kwenye soka la Afrika Al Ahly atatawala sana hao Wydad kidogo wakiwa kwenye ubora wao ndio huwa wanaweza kumpa challenge angalau kwenye 5 wakaokota 2

Haina tofauti na SSC

Kila mwaka ni robo fainal
 
Back
Top Bottom