Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulitolewa wewe, haibadiki hiyoo [emoji23][emoji23][emoji23]Nafikiri majibu yamepatikana ni mkundu tu atabisha
Uko sahihi kabisaa.Watu wanaangalia performance yao ya hivi karibuni msifikiri wanaropoka tu, msimu uliopita tu hapo walimpiga Al Ahly goli 5 na msimu huu wamechukua kombe la AFL, huku wakimtoa Al Ahly kwenye semi finals
Bado hatujaongelea AFCON iliyoisha mwaka huu, timu ya SA ilivyoperform vizuri hasa ilipoitoa Morocco tena huku ikiondoka na clean sheet, na zaidi ya nusu ya first eleven ya SA walikuwa ni Mamelodi Sundowns
Sema basi tu kwa vile walikutana na Nigeria ambayo wachezaji karibu wote wanachezea vilabu vikubwa Ulaya, ndio wakatolewa wakaishia kuwania na kushinda nafasi ya tatu, kwahiyo siyo kwamba ni timu ndogo inawezekana labda imeanza tu kushuka viwango au kocha kuna mahali anakosea
Watu hatari SanaYamekuwa hayo tena jamani? Mara hii mmesahau Ubuntu Botho?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa umepiga penyewee.Kama vigezo vya timu kuwa bora ni hivyo mlivyovisema ninyi tu basi hata yanga hawastahili kujiita timu bora, kwa sababu hawajafanya na wala hawajafikia hata nusu ya waliyofanya na walipofikia mamelodi, sasa kama kwa vigezo hivyo mamelodi inaitwa mbovu je yanga itaitwaje hapo
Unajua mimi nilidhani labda kitendo cha yanga kujitahidi kutofungwa na mamelodi home and away, kunaonesha kuwa yanga imeadvance na kuwa timu kubwa kwa sababu imecheza na timu kubwa na haijafungwa, lakini badala yake mnadai eti mamelodi wabovu kisa wameshindwa kuwafunga yanga je hii inamaanisha nini
Yani hii maana yake ni kwamba yanga wenyewe hawajiamini wanajijua kwamba ni timu mbovu, na hawakutegemea kutoboa kwa mamelodi ndio maana walipotoboa, wakaona kwamba kumbe mamelodi ni wabovu kama wao tu na si kwamba wao ndio wameufikia ubora wa mamelodi
Wewe kijanaYanga alicheza kwa kuwaheshimu Sana, ila pale Hamna timu kabisa
Ule mpira haujaguswa na mkono, kama ungeguswa ungebadili uelekeoJoel Beta aligusa mpira KWA mkono. According to refa
Acha kufananisha Bayern na vitu vya ajabu. Bayern ana ndoo kibao za UEFA, huyu mpuuzi ameingia fainali mara moja tu. Anachoweza yeye ni kupasiana tu muda wote.Nashangaa sana eti ubora ubora gani sasa?
Wakati ndiyo huwa wanakwama hapa. Kila mara
Yaani hawa hata yanga angefunguka vizuri angewatoa kabisa yaani
Ahly ahly pekee ndiye team kubwa kwa malengo na mipango .
Hawa huwa wanaenda enda tu hawaeleweki
Eti kutoa wachezaji wale 7 South ndiyo imekuwa dili sana?
Simple sababu jamaa wameua sana soka Lao la ndani hivyo hakuna wachezaji team zingine ndogo imagine kina gadiel Michael na majogoro huko South ndiyo tegemeo eti ...
Hawa hawana tofauti na bayern Munich wanachukua ligi kuu kila mara ila UEFA wanaishia nusu au robo
Ule mpira haujaguswa na mkono, kama ungeguswa ungebadili uelekeoJoel Beta aligusa mpira KWA mkono. According to refa
Mbona kila siku huwa tunaongea hapa, hata Simba inavyojiita kubwa kimataifa huo ukubwa unatoka wapi. Sio Simba sio Yanga inamzidi ukubwa Zamalek hata kama hatumuoni klabu bingwa.Kama vigezo vya timu kuwa bora ni hivyo mlivyovisema ninyi tu basi hata yanga hawastahili kujiita timu bora, kwa sababu hawajafanya na wala hawajafikia hata nusu ya waliyofanya na walipofikia mamelodi, sasa kama kwa vigezo hivyo mamelodi inaitwa mbovu je yanga itaitwaje hapo
Unajua mimi nilidhani labda kitendo cha yanga kujitahidi kutofungwa na mamelodi home and away, kunaonesha kuwa yanga imeadvance na kuwa timu kubwa kwa sababu imecheza na timu kubwa na haijafungwa, lakini badala yake mnadai eti mamelodi wabovu kisa wameshindwa kuwafunga yanga je hii inamaanisha nini
Yani hii maana yake ni kwamba yanga wenyewe hawajiamini wanajijua kwamba ni timu mbovu, na hawakutegemea kutoboa kwa mamelodi ndio maana walipotoboa, wakaona kwamba kumbe mamelodi ni wabovu kama wao tu na si kwamba wao ndio wameufikia ubora wa mamelodi
Simba ndiyo walisema eti Mamelodi ni noma, mara eti kuna Shalulile, mara eti wanafanya mazoezi wakiwa wamejifunika macho.Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.
Imepigwa ndani nje
Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10
Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana
Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Kocha ni tatizo, kinambeba ni expensive squad na favouritism anayoipata kutokana na marefa kumuogopa boss wa CAF ambae pia ni mmiliki wa mamelod sundowns but in terms of tactics, experience, mind games, technical know-how Mokwena he is still a kid.Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.
Imepigwa ndani nje
Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10
Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana
Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Acha uongo mamelodi haijaanzishwa mwaka 1996. Mamelodi ipo tangu mwaka 1960s huko.
Weka ushahidi ku prove kama mamelodi ni timu ya mwaka 1996
Lengo si lilikuwa kukutisha tu Mwananchi ili utolewe wewe huoni ulivyojaa kweli na maneno mechi ya dar ambayo ulikuwa unaweza kushinda kabisa ukijiamini ukakaa nyuma dk zote 90 ukaambulia sare nyumbani wakati walikuwa wepesi tu wale ungeweza hata kushinda mwisho wa siku wakapatia daraja kwenu kwenda kuaibika nusuSimba ndiyo walisema eti Mamelodi ni noma, mara eti kuna Shalulile, mara eti wanafanya mazoezi wakiwa wamejifunika macho.
Wakati wanawapiga mkono Al Ahaly mlikuwa wapi?Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.
Imepigwa ndani nje
Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10
Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana
Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Super cup wamechukuwa timu gani? Tanzania imejaa mashabiki uchwara na wachambuzi mavi.Timu ya mchongo kinoma kila mwaka wanaipa hype unaweza kudhani ni mabingwa watetezi kumbe ni timu ya kuishia robo na nusu fainali kila mwaka
Hata huo mwaka walimpiga Al Ahly 5 kwenye group stage waliishia nusu fainal wenzao wakienda kubebs ndoo
Yaani timu toka 2016 mafanikio yake makubwa champions league ni kumfunga 5 Al Ahly.
Kuliko hao wapuuzi bora hata kumwamini Wydad au Esperance au hata Mazembe wanaweza kufanya kitu sio hao timu ya mchongo na wachezaji wa gharama kubwa wenye uwezo wa kawaida.
Na kama Wydad atazidi kuyumba kwenye soka la Afrika Al Ahly atatawala sana hao Wydad kidogo wakiwa kwenye ubora wao ndio huwa wanaweza kumpa challenge angalau kwenye 5 wakaokota 2
Rage alivyowaita mbumbumbu hakukosea, unaelewa kama Gamondi amefundisha Mamelodi?Lengo si lilikuwa kukutisha tu Mwananchi ili utolewe wewe huoni ulivyojaa kweli na maneno mechi ya dar ambayo ulikuwa unaweza kushinda kabisa ukijiamini ukakaa nyuma dk zote 90 ukaambulia sare nyumbani wakati walikuwa wepesi tu wale ungeweza hata kushinda mwisho wa siku wakapatia daraja kwenu kwenda kuaibika nusu
Shalile sasa hivi wanamwita Defending striker😂Shalulile sio striker ni mwizi ataishia kuwafunga wasauzi tu.
Sasa Gamondi kufundisha Mamelod inahusiana nn na nilichokiandika hapo?Rage alivyowaita mbumbumbu hakukosea, unaelewa kama Gamondi amefundisha Mamelodi?
Huu uthubutu wa kuonesha ujinga wenu hadharani mnautowa wapi?