Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

Mamelodi ni Overrated, sijui ukubwa waliupataje

Wale mashabiki wa Ubuntu wa Tanzania timu yao imeshaondolewa mashindanoni kwa kufungwa tena uko south

🐖🐖 🐖 FC
 
Watu wanaangalia performance yao ya hivi karibuni msifikiri wanaropoka tu, msimu uliopita tu hapo walimpiga Al Ahly goli 5 na msimu huu wamechukua kombe la AFL, huku wakimtoa Al Ahly kwenye semi finals

Bado hatujaongelea AFCON iliyoisha mwaka huu, timu ya SA ilivyoperform vizuri hasa ilipoitoa Morocco tena huku ikiondoka na clean sheet, na zaidi ya nusu ya first eleven ya SA walikuwa ni Mamelodi Sundowns

Sema basi tu kwa vile walikutana na Nigeria ambayo wachezaji karibu wote wanachezea vilabu vikubwa Ulaya, ndio wakatolewa wakaishia kuwania na kushinda nafasi ya tatu, kwahiyo siyo kwamba ni timu ndogo inawezekana labda imeanza tu kushuka viwango au kocha kuna mahali anakosea
Uko sahihi kabisaa.
 
Kama vigezo vya timu kuwa bora ni hivyo mlivyovisema ninyi tu basi hata yanga hawastahili kujiita timu bora, kwa sababu hawajafanya na wala hawajafikia hata nusu ya waliyofanya na walipofikia mamelodi, sasa kama kwa vigezo hivyo mamelodi inaitwa mbovu je yanga itaitwaje hapo

Unajua mimi nilidhani labda kitendo cha yanga kujitahidi kutofungwa na mamelodi home and away, kunaonesha kuwa yanga imeadvance na kuwa timu kubwa kwa sababu imecheza na timu kubwa na haijafungwa, lakini badala yake mnadai eti mamelodi wabovu kisa wameshindwa kuwafunga yanga je hii inamaanisha nini

Yani hii maana yake ni kwamba yanga wenyewe hawajiamini wanajijua kwamba ni timu mbovu, na hawakutegemea kutoboa kwa mamelodi ndio maana walipotoboa, wakaona kwamba kumbe mamelodi ni wabovu kama wao tu na si kwamba wao ndio wameufikia ubora wa mamelodi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapa umepiga penyewee.
 
Nashangaa sana eti ubora ubora gani sasa?

Wakati ndiyo huwa wanakwama hapa. Kila mara
Yaani hawa hata yanga angefunguka vizuri angewatoa kabisa yaani

Ahly ahly pekee ndiye team kubwa kwa malengo na mipango .
Hawa huwa wanaenda enda tu hawaeleweki

Eti kutoa wachezaji wale 7 South ndiyo imekuwa dili sana?
Simple sababu jamaa wameua sana soka Lao la ndani hivyo hakuna wachezaji team zingine ndogo imagine kina gadiel Michael na majogoro huko South ndiyo tegemeo eti ...

Hawa hawana tofauti na bayern Munich wanachukua ligi kuu kila mara ila UEFA wanaishia nusu au robo
Acha kufananisha Bayern na vitu vya ajabu. Bayern ana ndoo kibao za UEFA, huyu mpuuzi ameingia fainali mara moja tu. Anachoweza yeye ni kupasiana tu muda wote.
 
Kama vigezo vya timu kuwa bora ni hivyo mlivyovisema ninyi tu basi hata yanga hawastahili kujiita timu bora, kwa sababu hawajafanya na wala hawajafikia hata nusu ya waliyofanya na walipofikia mamelodi, sasa kama kwa vigezo hivyo mamelodi inaitwa mbovu je yanga itaitwaje hapo

Unajua mimi nilidhani labda kitendo cha yanga kujitahidi kutofungwa na mamelodi home and away, kunaonesha kuwa yanga imeadvance na kuwa timu kubwa kwa sababu imecheza na timu kubwa na haijafungwa, lakini badala yake mnadai eti mamelodi wabovu kisa wameshindwa kuwafunga yanga je hii inamaanisha nini

Yani hii maana yake ni kwamba yanga wenyewe hawajiamini wanajijua kwamba ni timu mbovu, na hawakutegemea kutoboa kwa mamelodi ndio maana walipotoboa, wakaona kwamba kumbe mamelodi ni wabovu kama wao tu na si kwamba wao ndio wameufikia ubora wa mamelodi
Mbona kila siku huwa tunaongea hapa, hata Simba inavyojiita kubwa kimataifa huo ukubwa unatoka wapi. Sio Simba sio Yanga inamzidi ukubwa Zamalek hata kama hatumuoni klabu bingwa.
 
Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.

Imepigwa ndani nje

Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10

Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana

Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Simba ndiyo walisema eti Mamelodi ni noma, mara eti kuna Shalulile, mara eti wanafanya mazoezi wakiwa wamejifunika macho.
 
Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.

Imepigwa ndani nje

Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10

Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana

Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Kocha ni tatizo, kinambeba ni expensive squad na favouritism anayoipata kutokana na marefa kumuogopa boss wa CAF ambae pia ni mmiliki wa mamelod sundowns but in terms of tactics, experience, mind games, technical know-how Mokwena he is still a kid.
 
Simba ndiyo walisema eti Mamelodi ni noma, mara eti kuna Shalulile, mara eti wanafanya mazoezi wakiwa wamejifunika macho.
Lengo si lilikuwa kukutisha tu Mwananchi ili utolewe wewe huoni ulivyojaa kweli na maneno mechi ya dar ambayo ulikuwa unaweza kushinda kabisa ukijiamini ukakaa nyuma dk zote 90 ukaambulia sare nyumbani wakati walikuwa wepesi tu wale ungeweza hata kushinda mwisho wa siku wakapatia daraja kwenu kwenda kuaibika nusu
 
Nahisi kama Kocha ndio tatizo, huwa hana plan japo ana players.

Imepigwa ndani nje

Mechi 3 no goal huku timu inawachezaji wa bilioni 10

Kocha afukuzwe na kina Zwane Shilule hawana impact ni overrated sana

Yanga ilidhulumiwa kama TPM ilivyodhulumiwa
Wakati wanawapiga mkono Al Ahaly mlikuwa wapi?

Mamelodi ndio timu pekee nimeishuhudia ikipata matokeo Cairo.

Mamelodi ndio mabingwa wa Super cup.

Bongo mmejaa vichambuzi uchwara, soka la South Africa sasa hivi linatawaliwa na Mamelodi hakuna cha Orlando wala Kaizer Chief.
 
Timu ya mchongo kinoma kila mwaka wanaipa hype unaweza kudhani ni mabingwa watetezi kumbe ni timu ya kuishia robo na nusu fainali kila mwaka
Hata huo mwaka walimpiga Al Ahly 5 kwenye group stage waliishia nusu fainal wenzao wakienda kubebs ndoo
Yaani timu toka 2016 mafanikio yake makubwa champions league ni kumfunga 5 Al Ahly.
Kuliko hao wapuuzi bora hata kumwamini Wydad au Esperance au hata Mazembe wanaweza kufanya kitu sio hao timu ya mchongo na wachezaji wa gharama kubwa wenye uwezo wa kawaida.
Na kama Wydad atazidi kuyumba kwenye soka la Afrika Al Ahly atatawala sana hao Wydad kidogo wakiwa kwenye ubora wao ndio huwa wanaweza kumpa challenge angalau kwenye 5 wakaokota 2
Super cup wamechukuwa timu gani? Tanzania imejaa mashabiki uchwara na wachambuzi mavi.
 
Lengo si lilikuwa kukutisha tu Mwananchi ili utolewe wewe huoni ulivyojaa kweli na maneno mechi ya dar ambayo ulikuwa unaweza kushinda kabisa ukijiamini ukakaa nyuma dk zote 90 ukaambulia sare nyumbani wakati walikuwa wepesi tu wale ungeweza hata kushinda mwisho wa siku wakapatia daraja kwenu kwenda kuaibika nusu
Rage alivyowaita mbumbumbu hakukosea, unaelewa kama Gamondi amefundisha Mamelodi?

Huu uthubutu wa kuonesha ujinga wenu hadharani mnautowa wapi?
 
Rage alivyowaita mbumbumbu hakukosea, unaelewa kama Gamondi amefundisha Mamelodi?

Huu uthubutu wa kuonesha ujinga wenu hadharani mnautowa wapi?
Sasa Gamondi kufundisha Mamelod inahusiana nn na nilichokiandika hapo?
Au umeamua tu kutoa taarifa kuwa na yeye alipita hiyo timu mbovu hapo sauz?
 
Back
Top Bottom