Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Habari!
Nimerudi tena baada ya kimya kirefu juu ya chambuzi za soccer, twende pamoja. Hadi sasa ni hatua ya robo fainali ya CAFCL ambapo timu nane bora ndio zimebaki hadi sasa ambazo ni Wydad Casablanca, Mamelodi Sundowns, Simba Sc, Esperence, Kaizer Chiefs, Al Ahly, Mc Alger & CR Belouizdad.
Haya twende taratibu kabisa hapa maana kama ratiba inavyotarajiwa kuanza kesho na siku zinazofata.
Upande wa Mc Alger Vs Wydad Casablanca mechi hii ni nyepesi sana kwa hawa Wamorocco hivyo Wydad Casablanca atapita kutinga nusu fainali.
Kaizer Chiefs Vs Simba Sc hapa mechi wengi watampa nafasi Simba Sc kutinga nusu fainali ila ukweli ni kwamba hapa ni 50/50 yeyote anaweza kutinga nusu fainali kati ya hawa wawili.
Hivyo basi nusu fainali kwa upande huu Wydad Casablanca atakutana na Simba Sc/Kaizer Chiefs ila mambo yatakavyokuwa ni rahisi sana hapa. Wydad Casablanca kwa sasa kama umetazama mechi zake amekuwa si wakutisha sana hivyo basi kati ya Simba Sc/Kaizer Chiefs ndio ataingia Fainali huku Wydad Casablanca atakupiliwa nje ya mashindano katika hatua hiyo ya nusu.
Upande wapili wa Shilling mambo ni mepesi kwa bingwa huyu Mamelodi Sundowns Fc maana ataanza kwa kumpiga nyingi Al Ahly (Bingwa mtetezi) na kutinga nusu fainali ambapo atakutana na Esperence ambaye atakuwa amemtoa Mc Alger.
Mechi ya Mamelodi Sundowns Fc Vs Esperence itakuwa rahisi mno kwa Wasandawe hawa kutoka South Africa.
Fainali itakuwa ni Mamelodi Sundowns Fc Vs Simba Sc/Kaizer Chiefs na mambo yatakuwa mepesi zaidi na zaidi kwa Mamelodi Sundowns.
Hivyo namaliza kwa kusema pongezi kwa Mamelodi Sundowns Fc mabingwa wa CAFCL 2021.
Mtasema huyu mpiga ramli vipi tena hizi ni hesabu rahisi kabisa kwa Mamelodi Sundowns Fc japo karata zangu za uzi uliyopita ulibuma vibaya mno.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.
Nimerudi tena baada ya kimya kirefu juu ya chambuzi za soccer, twende pamoja. Hadi sasa ni hatua ya robo fainali ya CAFCL ambapo timu nane bora ndio zimebaki hadi sasa ambazo ni Wydad Casablanca, Mamelodi Sundowns, Simba Sc, Esperence, Kaizer Chiefs, Al Ahly, Mc Alger & CR Belouizdad.
Haya twende taratibu kabisa hapa maana kama ratiba inavyotarajiwa kuanza kesho na siku zinazofata.
Upande wa Mc Alger Vs Wydad Casablanca mechi hii ni nyepesi sana kwa hawa Wamorocco hivyo Wydad Casablanca atapita kutinga nusu fainali.
Kaizer Chiefs Vs Simba Sc hapa mechi wengi watampa nafasi Simba Sc kutinga nusu fainali ila ukweli ni kwamba hapa ni 50/50 yeyote anaweza kutinga nusu fainali kati ya hawa wawili.
Hivyo basi nusu fainali kwa upande huu Wydad Casablanca atakutana na Simba Sc/Kaizer Chiefs ila mambo yatakavyokuwa ni rahisi sana hapa. Wydad Casablanca kwa sasa kama umetazama mechi zake amekuwa si wakutisha sana hivyo basi kati ya Simba Sc/Kaizer Chiefs ndio ataingia Fainali huku Wydad Casablanca atakupiliwa nje ya mashindano katika hatua hiyo ya nusu.
Upande wapili wa Shilling mambo ni mepesi kwa bingwa huyu Mamelodi Sundowns Fc maana ataanza kwa kumpiga nyingi Al Ahly (Bingwa mtetezi) na kutinga nusu fainali ambapo atakutana na Esperence ambaye atakuwa amemtoa Mc Alger.
Mechi ya Mamelodi Sundowns Fc Vs Esperence itakuwa rahisi mno kwa Wasandawe hawa kutoka South Africa.
Fainali itakuwa ni Mamelodi Sundowns Fc Vs Simba Sc/Kaizer Chiefs na mambo yatakuwa mepesi zaidi na zaidi kwa Mamelodi Sundowns.
Hivyo namaliza kwa kusema pongezi kwa Mamelodi Sundowns Fc mabingwa wa CAFCL 2021.
Mtasema huyu mpiga ramli vipi tena hizi ni hesabu rahisi kabisa kwa Mamelodi Sundowns Fc japo karata zangu za uzi uliyopita ulibuma vibaya mno.
Nawasilisha Mzee Mkoloni.
Cc: Kichwa Kichafu.