muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,301 Reaction score 13,858 Oct 25, 2016 #21 Mwakani Mnyama atalinyakua...
Belo JF-Expert Member Joined Jun 11, 2007 Posts 12,897 Reaction score 10,213 Oct 25, 2016 #22 muhomakilo jr said: Mwakani Mnyama atalinyakua... Click to expand... Acha kuota ndoto za mchana mwakani Yanga ndio mwakilishi kutoka Tanzania
muhomakilo jr said: Mwakani Mnyama atalinyakua... Click to expand... Acha kuota ndoto za mchana mwakani Yanga ndio mwakilishi kutoka Tanzania
muhomakilo jr JF-Expert Member Joined Jul 28, 2013 Posts 15,301 Reaction score 13,858 Oct 25, 2016 #23 Belo said: Acha kuota ndoto za mchana mwakani Yanga ndio mwakilishi kutoka Tanzania Click to expand... Mmemtimua yule mzungu kimajungu,yule ndiyo kocha angewafikisha hatua mzuri,lakini mnaruka nnya mnakanyaga mikojo...
Belo said: Acha kuota ndoto za mchana mwakani Yanga ndio mwakilishi kutoka Tanzania Click to expand... Mmemtimua yule mzungu kimajungu,yule ndiyo kocha angewafikisha hatua mzuri,lakini mnaruka nnya mnakanyaga mikojo...
Gwamahala JF-Expert Member Joined Jul 29, 2009 Posts 3,925 Reaction score 2,325 Oct 25, 2016 #24 boniface salim said: Mi nmeiangalia hyo 1.5 billion hv mamelodi ina wachezaj wangap vile Click to expand... USD 1.5M ni sawa na 3BN Tshs...hata kama timu ina wachezaji 30, maana yake kila mmoja atapata million 100 za kiTanzania. Zinatosha sana kwa mazingira ya kiafrika.
boniface salim said: Mi nmeiangalia hyo 1.5 billion hv mamelodi ina wachezaj wangap vile Click to expand... USD 1.5M ni sawa na 3BN Tshs...hata kama timu ina wachezaji 30, maana yake kila mmoja atapata million 100 za kiTanzania. Zinatosha sana kwa mazingira ya kiafrika.
sembo JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 4,350 Reaction score 3,451 Oct 26, 2016 #25 Belo said: Acha kuota ndoto za mchana mwakani Yanga ndio mwakilishi kutoka Tanzania Click to expand... Tuna mwaka mmoja zaidi wa kuendelea kuaibika katika uga wa kimataifa.
Belo said: Acha kuota ndoto za mchana mwakani Yanga ndio mwakilishi kutoka Tanzania Click to expand... Tuna mwaka mmoja zaidi wa kuendelea kuaibika katika uga wa kimataifa.