Mkuu naruhusiwa kutoa vi updates?Wazulu wanajaribu kuwa wakali kidogo,
Wanaijua tabia ya waarabu yakudeka.
Mimi sio expert mkuu ila nipo nafatilia game hii hapa na napenda wadau wapate updates kama unavyofanya .,na appreciate.👏Kabisa mkuu, itakuwa poa sana.
Nifundishe na mimi