SIMBA NI MBUMBUMBU [emoji16]Mwarab kabylie ni mwarab mnyonge hana tofauti na us monastir
Utakutana nae wapi?Huyu Mamelodi kwa Mkapa atatueleza vizuri alikuwa anashindaje hizo game
Halafu sio sio js kabyle ni CR BELOUIZDAD
Belouizdad ndio vinara wa ligi ya Algeria, na pia kwenye ranking ya CAF wapo nafasi ya 8. Je ni kigezo kipi kimekufanya uone ni wanyonge?Ndio hao hao waarabu wanyonge
Zile takwimu bwanaNa hua upo Makini na hizi nyuzi zao [emoji16][emoji16][emoji16]
Takwimu za Kibudu Vs Mayele zinaendeleaje [emoji28][emoji28][emoji28]
Tatizo hajui kitu huyo...Belouizdad ndio vinara wa ligi ya Algeria, na pia kwenye ranking ya CAF wapo nafasi ya 8. Je ni kigezo kipi kimekufanya uone ni wanyonge?
Hajacheza na kabylie inaonekana hauko seriousMwarab kabylie ni mwarab mnyonge hana tofauti na us monastir
Swali zuri akikujibu nitagBelouizdad ndio vinara wa ligi ya Algeria, na pia kwenye ranking ya CAF wapo nafasi ya 8. Je ni kigezo kipi kimekufanya uone ni wanyonge?
Hajacheza na kabylie inaonekana hauko serious
Ni lini simba alishawah shinda uarabun 4
Swali zuri akikujibu nitag
Belouizdad ndio vinara wa ligi ya Algeria, na pia kwenye ranking ya CAF wapo nafasi ya 8. Je ni kigezo kipi kimekufanya uone ni wanyonge?
Vipi kuhusu pramid?Huyo mwarabu Belouzdad tunamuona ni mnyonge sababu hajawai kutwaa caf champions league hata mara moja.
Na pia hajawai kufika nusu fainali ya caf champions league hata mara moja.
Timu nzuri haiwezi kuwa na Cv mbovu hivyo.
Hajacheza na kabylie inaonekana hauko serious
Ni lini simba alishawah shinda uarabun 4
Vipi kuhusu pramid?
Kuwa na cv ndogo sio tija Pramid ni team ambayo haina muda mrefu tangu ianzishwe kwake lakini imewekeza kiasi kikubwa Sana kwenye kikosi chake kiasi ambacho imewasaidia angalau uwa wanafika robo final nadhani inavyozidi itafika mbali zaidiPyramid haipo champions league.
Usihamishe mada kwa swali la nje ya hoja yetu.
Mamelodi ndie timu iliyepangiwa mnyonge kuliko zote.
Timu zote 8 zilizopo robo fainali.
Timu ambayo ina CV ndogo kuliko wote kwenye caf champions league ni Belouzdad ambayo mamelodi kapangiwa.
Hiyo timu hata robo fainali kufika kwao ni bahati kubwa. Maana hawanaga maajabu
Kuwa na cv ndogo sio tija Pramid ni team ambayo haina muda mrefu tangu ianzishwe kwake lakini imewekeza kiasi kikubwa Sana kwenye kikosi chake kiasi ambacho imewasaidia angalau uwa wanafika robo final nadhani inavyozidi itafika mbali zaidi
Sawa huyo kafungwa goli 4 umetumia fact ya unyonge kwavile hajawahi kubeba kombe. Mbona Al Ahly msimu huu wamefungwa magoli matano na hao hao Mamelod pamoja na kubeba kwao makombe?Huyo mwarabu Belouzdad tunamuona ni mnyonge sababu hajawai kutwaa caf champions league hata mara moja.
Na pia hajawai kufika nusu fainali ya caf champions league hata mara moja.
Timu nzuri haiwezi kuwa na Cv mbovu hivyo.
Sawa huyo kafungwa goli 4 umetumia fact ya unyonge kwavile hajawahi kubeba kombe. Mbona Al Ahly msimu huu wamefungwa magoli matano na hao hao Mamelod pamoja na kubeba kwao makombe?
Dhana ulitumia kujenga hoja yako ndio nakupinga hiyo team haijafika hapo kwa bahati mbaya kijana sema wamekutana na team Bora zaidi so huwezi kusema ni team mbovu eti kwasababu imepigwa 4 mbona al ahly kala 5 na hao hao Mamelodi utasema al ahly ni team mbovu?Hoja yetu tunaongelea Pyramid ama tunaongelea Belouzdad ?
Jana Mamelodi amecheza na Pyramid ama Belouzdad?
Huyo Belouzdad aliefungwa na Mamelodi jana ana mafanikio gani ya kusema ni timu kali kwenye champions league
Dhana ulitumia kujenga hoja yako ndio nakupinga hiyo team haijafika hapo kwa bahati mbaya kijana sema wamekutana na team Bora zaidi so huwezi kusema ni team mbovu eti kwasababu imepigwa 4 mbona al ahly kala 5 na hao hao Mamelodi utasema al ahly ni team mbovu?