Baada ya kupata goli la kuongoza hao Mamelodi wakakosa umakini na kufikiri kwamba mpira umeisha wakaanza ubishoo na matokeo yake ndio yakatokea ya kutokea.
Walijisahau kwamba walikuwa wanacheza na bingwa mtetezi, sasa itabidi wajipange tena upya kwa msimu ujao maanake hamna namna.