demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Pamekuwa na kelele kibao na lukuki kuhusu Ubora na Ukubwa wa Klabu ya Mamelodi Sundowns kutoka Afrika ya Kusini. Hata hivyo dhana hiyo imejengeka mno machoni pa watu kwa sababu ya Ufanisi wao wa kucheza pasi nyingi zisizo na msingi katika dakika 90 za mpira.
Sasa wamepata fursa nyadidi ya kuthibitisha ukubwa wao. Kwani mbele yao ni Dar es Salaam Young Africans SC ambao ni klabu yenye falsafa tofauti na vilabu ambavyo Mamelodi imekuwa ikicheza navyo PSL.
Wako na jukumu zito la kuuthibitishia umma wa waafrika kwamba wao ni moingoni mwa timu kubwa barani africa.
Karibu Dar es salama Mamelodi sundown. Tunawangoja kwa bashasha na matamanio mazuri mno.
Sho Sho!
Sasa wamepata fursa nyadidi ya kuthibitisha ukubwa wao. Kwani mbele yao ni Dar es Salaam Young Africans SC ambao ni klabu yenye falsafa tofauti na vilabu ambavyo Mamelodi imekuwa ikicheza navyo PSL.
Wako na jukumu zito la kuuthibitishia umma wa waafrika kwamba wao ni moingoni mwa timu kubwa barani africa.
Karibu Dar es salama Mamelodi sundown. Tunawangoja kwa bashasha na matamanio mazuri mno.
Sho Sho!