Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelele au siyo.Pamekuwa na kelele kibao na lukuki kuhusu Ubora na Ukubwa wa Klabu ya Mamelodi Sundowns kutoka Afrika ya Kusini. Hata hivyo dhana hiyo imejengeka mno machoni pa watu kwa sababu ya Ufanisi wao wa kucheza pasi nyingi zisizo na msingi katika dakika 90 za mpira.
Sasa wamepata fursa nyadidi ya kuthibitisha ukubwa wao. Kwani mbele yao ni Dar es Salaam Young Africans SC ambao ni klabu yenye falsafa tofauti na vilabu ambavyo Mamelodi imekuwa ikicheza navyo PSL.
Wako na jukumu zito la kuuthibitishia umma wa waafrika kwamba wao ni moingoni mwa timu kubwa barani africa.
Karibu Dar es salama Mamelodi sundown. Tunawangoja kwa bashasha na matamanio mazuri mno.
Sho Sho!
Hamuwei kuwa na maneno kwasababu mnajia hao sio Rivers.Sisi Yanga hatuna maneno mengi kama waimba taarabu,tunawaambia hivi tutakutana hapa hapa baada ya mechi zote mbili.
Kuna wakati watu wwnye akili na wanaoujua mpira huwa wanakaa kimya na kuwaacha wapumbavu mbwabwaje mtakavyo. Halafu zikasubiriwa dk 90 nyumbani na ugenini kuamua matokeo.Hii mechi ni ndogo mbele ya macho ya Wananchi, Ila ni kubwa kwa wale waliopigwa 5.
yamechanganyikiwa hatariKiwewe kimetanda kila kona. Watu hawajui waseme nini hawajui waongee nini.
Kwa takwimu hizi, fungeni huu uziNB: msimu wa 2020/21 Mamelody alimfunga Cr Belarouzidad akiwa kwake goli 5 kwenye hatua ya makundi.
Msimu ulioisha Cr Belarouzidad alifungwa goli 4-1 na Mamelody tena Belouzidad akiwa nyumbani.
Uku ni kujifariji.Endelea kuota.Mamelodi jina kubwa kuliko uwezo wake juzi tu tp Mazembe mchovu katoa nae agreggate ya 1 kwa 1.. tena kwa kupewa penalty south sababu rais wa caf alikuwepo mwenye timu yake.
Timu ina miaka mingi haijawai kufika fainali wala kubeba kombe. Nusu yenyewe anafika mara chache. Ila inasifiwa kama nini.
Ingekuwa mtoano nimepangiwa kina Esperence, Al ahly ningekubali nimetolewa. Ila sio mamelodi
Walishapanga robo wanakutana na ASEC ya Ubaruku🤣Kiwewe kimetanda kila kona. Watu hawajui waseme nini hawajui waongee nini.
Ondoa neno walivyo cheza na Ahly ,mechi zote mbili ni Ahly ndio alishindwa kutoa hukumu kila kitu kuanzia shoot on target,big chances missed ,dangerous attack,chance created ,number of passes nasema kila kitu yanga alizidiwa .Yanga wanatakiwa wafanyie kazi mambo kadhaa ya muhimu
1. Yao asijisahau na kupanda sana sio kila timu ni ya kushambulia kwa kutumia wing back akirudia makosa dhidi ya Al ahly cairo na belouzidad Algeria imekula .
2. . Tackling za backline ya yanga hasa bacca na lomalisa wawe makini sana dhidi ya washambuliaji kina shalulile na maseko na kusababisha penalti, faulo au kadi , wacheze clean football wasicheze rafu .
3 . Kona na mipira ya krosi wawe makini kuna beki wao Raymond mvala anaruka sana vichwa., Huyu jamaa ndiyo mrefu zaidi Kati Yao .
4. Diara alicheza nao afcon anawajua anaweza kuchangia point chache kwa wenzake .
Nb: mamelodi ndio ilikuwa timu ya afrika kusini iliyoshika nafasi ya 3 afcon ikiwasumbua morocco na Nigeria hivyo kazini kwa young Africans kuna kazi ila siku hiyo wakicheza kwa nidhamu na ari Kama walivyocheza na simba , Al ahly Dar na belouzidad lolote linaweza kutokea .
Majini yatadandia mtumbwi wa wachungajiHao jamaa majini Lazima yakimbie.
Uku ni kujifariji.Endelea kuota.