Mamelodi Sundowns Wanapaswa Kuthibitisha Ubora wao Dhidi ya Yanga SC

Kelele au siyo.
Kumbee ni kelele!!
Ujinga uki advance unakuwa upumbavu! Na upumbavu ni kipaji!
 
Sisi Yanga hatuna maneno mengi kama waimba taarabu,tunawaambia hivi tutakutana hapa hapa baada ya mechi zote mbili.
Hamuwei kuwa na maneno kwasababu mnajia hao sio Rivers.

Rivers mlivyopangiwa nao si mlipiga makofi nyie na kelele kibao?

Leo ndio kwanza nimeashangaa mmeanza ku question na mfumo wa kupanga draw eti CAF inawahujumu.
 
NB: msimu wa 2020/21 Mamelody alimfunga Cr Belarouzidad akiwa kwake goli 5 kwenye hatua ya makundi.

Msimu ulioisha Cr Belarouzidad alifungwa goli 4-1 na Mamelody tena Belouzidad akiwa nyumbani.
Kwa takwimu hizi, fungeni huu uzi
 
Upo sawa
Team zote ili kujipima ubora wao lazima wacheze na yanga
 
Hizi ni porojo za kiswaili.yaani mamelod athibitishe ubora kwa vibonde.unashida yakufikiri wewe.Mdogo ndiye anayejipima kwa mkubwa sio mkubwa kwa mdogo.
 
Uku ni kujifariji.Endelea kuota.
 
Hivi uko sawa wewe baada yakusema uto ndiyo wakwenda kuthibitisha ubora dhidi ya mamelody hizo dharau zenu ndiyo ziliwaponza kwa al ahaly
 
Ondoa neno walivyo cheza na Ahly ,mechi zote mbili ni Ahly ndio alishindwa kutoa hukumu kila kitu kuanzia shoot on target,big chances missed ,dangerous attack,chance created ,number of passes nasema kila kitu yanga alizidiwa .
 
Uku ni kujifariji.Endelea kuota.

Najua Now umemuolewa mtoa mada, maana Ulipotea sana baada ya mamelodi kupigwa na esperence nje ndani.

Nazani sasa ulielewa point yake kwa nini alimuogopa esperence kupangiwa yanga kuliko mamelodi.

Caf champions league ina timu zake za kuziogopa.

mamelodi sio mmojawao wa timu za kuziogopa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…