Zouzoutz
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 1,883
- 2,732
AaaahaSafi sana na wakitaka tutawapeleka mpaka pale Jangwani kabisa watembee peku ili wawe grounded zaidi
Ila kipigo cha mbwa mwizi kiko pale pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AaaahaSafi sana na wakitaka tutawapeleka mpaka pale Jangwani kabisa watembee peku ili wawe grounded zaidi
Ila kipigo cha mbwa mwizi kiko pale pale
Mshirikina mkuu Tz hii ni Thiiimbaaaa bw mwasibu feki OKW CPA uchwara.Uto punguzeni ushirikina mnatia watu mashaka
Wangefanya hivyo waswahili wenzako ungesema UCHAWI, Wakifanya Wasouth ni mind game! Huo kama si utumwa wa fikra ni nini!?Jamaa wana Mind game balaa aiseee
Wanajua wanachofanya hapo...
Uto mshaanza kuogopa??tulieniImani za kshirikina tu, hakuna kitu kama hiko katika masuala ya saikolojia ya Soka Duniani.
Inaondoa uoga uoga upi viwanja vyote vina standard zinajulikana na wala hawatoche peku.
Al Ahly mabingwa wa kihistoria na huwa hawafanyi hiyo tabia.
sasa mkuu unaniwekeaje "maneno mdomoni" kwamba ningesema wachawi mkuu, upo kwenye fikra zangu hadi ujue nawaza nini? pole sanaWa
Wangefanya hivyo waswahili wenzako ungesema UCHAWI, Wakifanya Wasouth ni mind game! Huo kama si utumwa wa fikra ni nini!?
Jamani si mnapigwa faini hata juzi vs Tabora kwasababu za kuroga viwanjani? 😀Uto punguzeni ushirikina mnatia watu mashaka
Anza kuwaonea mbumbumbu wenzio kwanzaGongowazi nawaonea huruma
Mkuu tutatoboaWiki ya moto hiii...
Huku mateso ya Kristo huku mateso kwa vilabu 2 mioyoni...
Unaijua scenario ya kilichotokea?Jamani si mnapigwa faini hata juzi vs Tabora kwasababu za kuroga viwanjani? 😀