Mamelodi Sundowns watakagua uwanja wa Mkapa kwa kutembea peku

Mamelodi Sundowns watakagua uwanja wa Mkapa kwa kutembea peku

Tunasalimiwa.🤣🤣🤣🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20240328_044305_Facebook.jpg
    Screenshot_20240328_044305_Facebook.jpg
    78.1 KB · Views: 2
Wa
Jamaa wana Mind game balaa aiseee

Wanajua wanachofanya hapo...
Wangefanya hivyo waswahili wenzako ungesema UCHAWI, Wakifanya Wasouth ni mind game! Huo kama si utumwa wa fikra ni nini!?
 
Imani za kshirikina tu, hakuna kitu kama hiko katika masuala ya saikolojia ya Soka Duniani.

Inaondoa uoga uoga upi viwanja vyote vina standard zinajulikana na wala hawatoche peku.

Al Ahly mabingwa wa kihistoria na huwa hawafanyi hiyo tabia.
Uto mshaanza kuogopa??tulieni
 
Wa

Wangefanya hivyo waswahili wenzako ungesema UCHAWI, Wakifanya Wasouth ni mind game! Huo kama si utumwa wa fikra ni nini!?
sasa mkuu unaniwekeaje "maneno mdomoni" kwamba ningesema wachawi mkuu, upo kwenye fikra zangu hadi ujue nawaza nini? pole sana
 
Hiyo kutembea peku ktk ulimwengu wa roho ni kuteka uwanja na kujihakikishia ushindi. Timu pinzani iwe makin
Ni sahihi ni kuteka ila kiteka inategemea una nguvu na mamlaka gani kuteka eneo husika. Je Uchawi wa Kisouth utaushinda wa Dar? Mshana Jr pamoja na LIKUD tusaidieni kwa hilo.
 
Ni sahihi ni kuteka ila kiteka inategemea una nguvu na mamlaka gani kuteka eneo husika. Je Uchawi wa Kisouth utaushinda wa Dar? Mshana Jr pamoja na LIKUD tusaidieni kwa hilo.
Huyo anakariri andiko linalosema " kila mtakapo pakanyaga mtapatawala" amelielewa ndivyo sivyo hilo andiko
 
Afadhali wakakutane na makorokoro ya makolo kiumane tuje tuwatamdike vizuri
 
Back
Top Bottom