desayi
JF-Expert Member
- Aug 27, 2017
- 3,593
- 5,848
We si mnyama hajawahi kukukanda 5-0Hivi kuna kipigo kikubwa zaidi ya kile mlichopigwa November 5 last year?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si mnyama hajawahi kukukanda 5-0Hivi kuna kipigo kikubwa zaidi ya kile mlichopigwa November 5 last year?
Makolo ni SI UNIT ya ukubwa wa utopolo?Tumewapiga makolo 5
Habari wanazi kuwa Yanga ni lidude
Ingekuwa mbumbumbu hapo sawa wangekuwa wamepata mserereko
Hapa sijaelewa kila mwezi mfano unakuwa unatoa 25k auNiombe radhi kwa kuwa nje ya mada kidogo, nimeona sio mbaya nikiwapa huduma itayotusaidia kua online mda mwingi na kufaidi mambo mengi ya mtandaoni ikiwemo hapa, kwa gharama ndogo sana
KWA WATUMIAJI WA TIGO KUNA BANDO NAFUU SANA(T!G0 P0STPA!D), UKIJIUNGA MIAKA MIWILI MIZIMA UTAKUA UMEOKOA HELA NYING UNAYOTUMIA KWAAJIL YA DATA NA DAKIKA.
UTAKUA UNAPEWA GB&DAKIKA NYINGI KILA TAREHE 1, THEN UNALIPIA HELA SIKU YOYOTE, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO!!
SH 25K GB 30 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI
SH 30K GB 35 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI
SH. 40K GB 48 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
SH. 60K GB 72 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
MALIPO YOTE UNAFANYA DIRECT KWENDA T!G0 HUNITUMII HATA MIA! (mm unanipa NO. yako tuu kwajili ya activation, nikiku activate nalipwa commission na T!G0)
UZURI ZAID NI KUA SAHIVI HUTAWEKWA KWENYE KIKUNDI CHA WATU, UNAKUA PEKE YAKO, SO HUWEZ KUPATA USUMBUFU WOWOTE!
Karibuni sana!!!
NIPIGIE AU NITEXT WHATSAPP KWA : 0717700921
wamesema wapi?Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.
Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
Hizi nyuzi zitaisaidia Yanga ktk kujipanga vzrMpira hauchezwi mdomoni unachezwa uwanjani na unatumia dk 90
Mukiitwa mbumbumbu munaanza kulia lia.Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.
Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
We boya ungelea liteam lenu bovu utopolo
Kubalini Simba ni mkubwa wenuUnasemaje wewe 'Seti tupu'?
Tunasubiri mtudhalilishe tu Watanzania.
Mwarabu atahamishia hazira zake kwenu, anawachapa nje-ndani.
Kisha kaka zenu WANANCHI wanawafanya vibaya MAMELODI.
Kubalini Simba ni mkubwa wenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu naona mie.Wakae kwa kutulia. Mpira unadunda.
Ingekuwa Simba kweli wangepata mseleleko,
Kwa Yanga ni wazi na wanajua shughuli waliyonayo sio ya kitoto.