Mamelodi waahidi Kuishushia Yanga kipigo Kizito ili kujikusanyia point wafuzu klabu bingwa dunia

Mamelodi waahidi Kuishushia Yanga kipigo Kizito ili kujikusanyia point wafuzu klabu bingwa dunia

Sijui kwanini huwa hamjifunzi wakati makundi yanapangwa mliibuka na kusema Yanga hatoboi na ikawaje???
Saivi mmekuja na kingine tena
 
Niombe radhi kwa kuwa nje ya mada kidogo, nimeona sio mbaya nikiwapa huduma itayotusaidia kua online mda mwingi na kufaidi mambo mengi ya mtandaoni ikiwemo hapa, kwa gharama ndogo sana

KWA WATUMIAJI WA TIGO KUNA BANDO NAFUU SANA(T!G0 P0STPA!D), UKIJIUNGA MIAKA MIWILI MIZIMA UTAKUA UMEOKOA HELA NYING UNAYOTUMIA KWAAJIL YA DATA NA DAKIKA.

UTAKUA UNAPEWA GB&DAKIKA NYINGI KILA TAREHE 1, THEN UNALIPIA HELA SIKU YOYOTE, NA UNAWEZA KULIPA KIDOGO KIDOGO!!
SH 25K GB 30 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI
SH 30K GB 35 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI

SH. 40K GB 48 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
SH. 60K GB 72 KILA MWEZ KWA MIAKA MIWILI.
MALIPO YOTE UNAFANYA DIRECT KWENDA T!G0 HUNITUMII HATA MIA! (mm unanipa NO. yako tuu kwajili ya activation, nikiku activate nalipwa commission na T!G0)


UZURI ZAID NI KUA SAHIVI HUTAWEKWA KWENYE KIKUNDI CHA WATU, UNAKUA PEKE YAKO, SO HUWEZ KUPATA USUMBUFU WOWOTE!

Karibuni sana!!!

NIPIGIE AU NITEXT WHATSAPP KWA : 0717700921
Hapa sijaelewa kila mwezi mfano unakuwa unatoa 25k au

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.

Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
wamesema wapi?
 
Mamelodi Sundowns wanasema lengo lao sio kufuzu bali kuipiga Yanga 'nje ndani kwa kipigo kizito' ili kukusanya pointi za kujihakikishia kufuzu Klabu Bingwa Duniani.

Masandawana wamedhamiria kuwadhalilisha majini SC
Mukiitwa mbumbumbu munaanza kulia lia.
Habari haina chanzo wala nini.
Yani umetoka kukata gogo huko, hata hauja chamba, umekimbilia kupost.

Hii inchi kuna watu hata ukiwaita machizi bado unawasifia tu.
 
We boya ungelea liteam lenu bovu utopolo

Unasemaje wewe 'Seti tupu'?

Tunasubiri mtudhalilishe tu Watanzania.
Mwarabu atahamishia hazira zake kwenu, anawachapa nje-ndani.

Kisha kaka zenu WANANCHI wanawafanya vibaya MAMELODI.
 
Unasemaje wewe 'Seti tupu'?

Tunasubiri mtudhalilishe tu Watanzania.
Mwarabu atahamishia hazira zake kwenu, anawachapa nje-ndani.

Kisha kaka zenu WANANCHI wanawafanya vibaya MAMELODI.
Kubalini Simba ni mkubwa wenu
 
Wakae kwa kutulia. Mpira unadunda.

Ingekuwa Simba kweli wangepata mseleleko,
Kwa Yanga ni wazi na wanajua shughuli waliyonayo sio ya kitoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aibu naona mie.
 
Back
Top Bottom