Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

Al Ahly hali ni tete kabakia kumuombea dua mbaya Al Hilal huu mpira huu..
 
Muarabu kachezea kipondo kizito..teh teh teh 😂😂😂
 
sare haitatosha kumvusha, inatakiwa ashinde ili awe na points 12 (ambazo alhy hawezi fikisha),

akidroo ni point 10, ambazo kimahesabu alhy anaweza kufikisha!

Muarabu hana cheke safari hii
Yaani Inenge akidroo tu na Mamelod zen akapunguze idadi ya magoli kule Cairo mwarabu kwaheri
 
Bado Al Ahly anaweza kupita... Al Hilal akishindwa kumfunga Mamelod kule Sudan atajiweka pabaya sana, Ahly anaweza kushinda mechi zake 2 zilizobaki vs Coton away na vs Hilal home. Hii ya Ahly vs Hilal pale Cairo, Ahly atahitaji ushindi wa tofauti ya goal 2 tu, yaani ashinde 2-0, 3-1,4-2 vyovyote vile. Maana wakifungana points wanaangalia Head 2 Head kwanza sio goal difference, so lolote linaweza kutokea.
 
Al hilal anahitaji points mbili tu ili apite yaani al ahly hata ashinde mechi mbili zote hatofikia points za al hilal kwasababu atakuwa na 11 wakati al ahly atakuwa na 10 kama atashinda mechi zilizobaki kwa hyo ngoma bado ngumu
 
sare haitatosha kumvusha, inatakiwa ashinde ili awe na points 12 (ambazo alhy hawezi fikisha),

akidroo ni point 10, ambazo kimahesabu alhy anaweza kufikisha!
Atazifikishaje al ahaly 10 aki draw na al hilal?
 
sare haitatosha kumvusha, inatakiwa ashinde ili awe na points 12 (ambazo alhy hawezi fikisha),

akidroo ni point 10, ambazo kimahesabu alhy anaweza kufikisha!
Hatima ya Al Ahly itakuwa tarehe 17
 
Hivi bwalya aliendaga wap
 
Head to head Al ahly mechi ya Kwanza alifungwa pale Khartoum Sudan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…