Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

Mamelody Sundown vs Al Ahaly je, leo tutaona mwarabu akiaibishwa?

We hujui mpira, hicho ni kiwanja Cha halmashauri ya jiji la Manchester, Etihad ni mdhamini kanunua haki ya kutangaza jina lake, kama ilivyo Emirates pale London we ni boya sana hujui Chochote kwenye futboli unadandia tu vitu usivyokuwa na uelewa navyo
Wewe akili hauna onyango
 
We hujui mpira, hicho ni kiwanja Cha halmashauri ya jiji la Manchester, Etihad ni mdhamini kanunua haki ya kutangaza jina lake, kama ilivyo Emirates pale London we ni boya sana hujui Chochote kwenye futboli unadandia tu vitu usivyokuwa na uelewa navyo
Hatakama hawana usijifunze kwa walioshindwa mdada
 
Sasa usibishane na wanaojua mpira, wew hujui hata mmiliki wa Mamelodi ndio raisi wa caf? Na ndio Aliyekuwa ana mkula Barbara wa Simba paka kampa mimba?
Hujui kwanini Simba alikuwa anapata upendeleo wa ratiba hatua za mtoano?
Unaanza kuleta ubuyu wabongo bhana
 
Peter shalile
IMG_20230311_173410.jpg
 
Back
Top Bottom