OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Dakika ya ngapi3-2 game on,Tau kill is own team!!
Wewe angalia uchafu wa Simba na Mtibwa huko.Dakika ya ngapi
Wewe akili hauna onyangoWe hujui mpira, hicho ni kiwanja Cha halmashauri ya jiji la Manchester, Etihad ni mdhamini kanunua haki ya kutangaza jina lake, kama ilivyo Emirates pale London we ni boya sana hujui Chochote kwenye futboli unadandia tu vitu usivyokuwa na uelewa navyo
70Dakika ya ngapi
Aisee kuna bwabwa humu ama?Unamda gani toka uanze?
Haaa haaa Uto wawekewe tag mnawachanganya wasomaji.Wewe angalia uchafu wa Simba na Mtibwa huko.
70min mkuuDakika ya ngapi
Hatakama hawana usijifunze kwa walioshindwa mdadaWe hujui mpira, hicho ni kiwanja Cha halmashauri ya jiji la Manchester, Etihad ni mdhamini kanunua haki ya kutangaza jina lake, kama ilivyo Emirates pale London we ni boya sana hujui Chochote kwenye futboli unadandia tu vitu usivyokuwa na uelewa navyo
Sasa usibishane na wanaojua mpira, wew hujui hata mmiliki wa Mamelodi ndio raisi wa caf? Na ndio Aliyekuwa ana mkula Barbara wa Simba paka kampa mimba?Hatakama hawana usijifunze kwa walioshindwa mdada
Unaanza kuleta ubuyu wabongo bhanaSasa usibishane na wanaojua mpira, wew hujui hata mmiliki wa Mamelodi ndio raisi wa caf? Na ndio Aliyekuwa ana mkula Barbara wa Simba paka kampa mimba?
Hujui kwanini Simba alikuwa anapata upendeleo wa ratiba hatua za mtoano?
Paka hapa Hawezi kutoboa.. labda maajabu ya mpira yatokeeAhly anatakiwa kumtunga coton na Al hilal ili afuzu
Al Ahly anafuzu mzee. Hizo mechi za Coton na Al Hilal zote zinachechezewa Misri. Hamna anayetoka salama hapo.Ahly anatakiwa kumtunga coton na Al hilal ili afuzu
We mwanangu mweupe kwelii kwenye soka la africa yaani kumnyanyasa unazungumzia sare wakati msimu wa mwaka juzi tu hapo walimpiga kabisa Al Ahly hapo hapo CairoUsikalili mamemlody pamoja na kuwa tishio hakuwahi mnyanyasa mwarabu cairo kama alivyofanya mwaka huu