Mamelody yaibua utata tena dhdi ya Cape Town Spurs.

sio zidi ni dhidi
 
Kafie mbele kolo mkubwa wew

Ficha upumbavu wewe Juha.
Hayo maneno yalitamkwa na Dk Luke Emarey akiwa kocha wa yanga. 2020

Chaa kusikigisha zaidi na Majuha menzio yana like.

HAMJUI HATA MAANA YA HIZO ALAMA
FUNGA SEMI NA FUNGUA SEMI."
 
Mbona hata nyinyi Yanga mmesha pewa penalty za aina hiyo zaidi ya mara 2 na haukuja kuanzisha uzi?
Mwaka jana Morrison dhidi ya Geita Gold. Hadi Morrison mwenyewe akamshangaa refa.
 
(1) Uto alipewa penati ydhidi ya Namungo kwa faulo ya mchongo kwa feisal
(2) uto alipewa penat ya.mchongo kwa faulo nje ya 18 dhidi ya geita gold
(3) magoli halali ya gwambina na kagera sugar yalikataliwa walipoifunga uto
(4) uto alipewa penati kwa faulo nje ya 18 dhidi ya simba baada ya kisinda kufanyiwa na onyango nje ya 18

Uto huwa anafaidika sana na maamuzi ya hovyo
 
Unakumbuka Yanga Afrika ya Tanzania imewahi kufungwa goli refa akakataa akasema ni kona?
 
Mtajua wenyewe na mambo yenu, SISI tunachojua utopolo ni mwakalobo junior
 
Mbona hata nyinyi Yanga mmesha pewa penalty za aina hiyo zaidi ya mara 2 na haukuja kuanzisha uzi?
Anzisha uzi kuhusu yanga kupewa pwenati za bure...HAPA HOJA NI MAMELODI

ACHA UNDEZI
 
Kwahyo haya maelezo yataisaidia yanga kwenda nusu fainali?
 
UBUTU BOTHO Bado wanalandalanda kwenye mioyo ya wana utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…