Vita ya mond haijawai acha mwana wa adam salaama
Unajua kwamba diamond bila hao mameneja asingefika hapo alipo?au unamuona mjinga kuwa na mameneja?uzuri wa jamiiforums hatujuani.. unaweza kuta mimi ndio daimond au ndio zari
Mbona wameshindwa kuwafanyia fitna wakina madee, chege, temba wawe on top?Unajua kwamba diamond bila hao mameneja asingefika hapo alipo?au unamuona mjinga kuwa na mameneja?
Hao ndo wazee wa fitina.na diamond anawaheshimu sana.
Ilo swali ungewauliza wenyewe.ila jua tu.bila mameneja makini diamond asingefika hapo.Mbona wameshindwa kuwafanyia fitna wakina madee, chege, temba wawe on top?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]ha ha ha dhambi sana kwa kweli wasanii wao wanafanya video jumapili posta
Mmmh zari tumekusikiahabari wadau..
nakumbuka babu tale ndie mwanzilishi na meneja wa tip top connection kina madee, keisha, tunda, dogo janja etc... naona amekimbia lebo yake anabanana WCB.
sallam nakumbuka ni meneja wa AY naona kamkimbia anabanana na WCB.
Mkubwa fella nakumbuka ni meneja wa Yamoto band, kina temba, chege etc naona nae amekimbia lebo yake anabanana WCB.
WCB patamu kuna safari za ulaya nyingi na Diamond ana hela ndefu wanyonyaji wote wameamua wakomae nae..
Ofisi ya WCB kila kitu ni gharama za Diamond.
recruitment ya wasanii WCB ni diamond yaani diamond akisema chochote mameneja wanasema Yess boss
Sio majungu wadau ni maoni tu..
kama hawa mameneja ni wazuri wanaupenda mziki wetu why wasiwamanage wasanii wao nao wawe kama diamond..
madee anapigia video posta barabarani siku ya jumapili maskini kuepuka msongamano.. meneja kakimbilia nyumba ndogo WCB.
Sallam, Babu tale na fella msikimbie nyumba zenu wasaniii wenu wanawahitaji muwakomboeeee...
Diamond ana familia inamtegemea sio kisa ameshatusua mkomae nae,,,, msimnyonyeeee sana
MbonaYamoto band imekufa?Wapi kina Chege?Wapi Madee Ali?Unajua kwamba diamond bila hao mameneja asingefika hapo alipo?au unamuona mjinga kuwa na mameneja?
Hao ndo wazee wa fitina.na diamond anawaheshimu sana.
Kwa nini isiwe "unajua kwamba Tunda man bila hao Mameneja asingefika hapo alipo?"Unajua kwamba diamond bila hao mameneja asingefika hapo alipo?au unamuona mjinga kuwa na mameneja?
Hao ndo wazee wa fitina.na diamond anawaheshimu sana.
Kuwalaumu kina Mkubwa Fela na Wenzake ni sawa na kuilaumu pini badala ya sumaku.habari wadau..
nakumbuka babu tale ndie mwanzilishi na meneja wa tip top connection kina madee, keisha, tunda, dogo janja etc... naona amekimbia lebo yake anabanana WCB.
sallam nakumbuka ni meneja wa AY naona kamkimbia anabanana na WCB.
Mkubwa fella nakumbuka ni meneja wa Yamoto band, kina temba, chege etc naona nae amekimbia lebo yake anabanana WCB.
WCB patamu kuna safari za ulaya nyingi na Diamond ana hela ndefu wanyonyaji wote wameamua wakomae nae..
Ofisi ya WCB kila kitu ni gharama za Diamond.
recruitment ya wasanii WCB ni diamond yaani diamond akisema chochote mameneja wanasema Yess boss
Sio majungu wadau ni maoni tu..
kama hawa mameneja ni wazuri wanaupenda mziki wetu why wasiwamanage wasanii wao nao wawe kama diamond..
madee anapigia video posta barabarani siku ya jumapili maskini kuepuka msongamano.. meneja kakimbilia nyumba ndogo WCB.
Sallam, Babu tale na fella msikimbie nyumba zenu wasaniii wenu wanawahitaji muwakomboeeee...
Diamond ana familia inamtegemea sio kisa ameshatusua mkomae nae,,,, msimnyonyeeee sana
Uliwajuaje hao mameneja saba kama hapendi show off au we mke wakeKing kiba ana wa meneja zaidi ya saba hadi na wanawake wameneja ila hapendi show off we domo na meneja wako wa 4
Ukibebwa bebeka.MbonaYamoto band imekufa?Wapi kina Chege?Wapi Madee Ali?
Kama hana uwezo.Kwa nini isiwe "unajua kwamba Tunda man bila hao Mameneja asingefika hapo alipo?"
Povu naona limekutoka sehemu za nyumaUliwajuaje hao mameneja saba kama hapendi show off au we mke wake
Anasema ana mameneja 7? Wa wapi? Tusimsikie ?zaid ya yoooooo pop it in mwenzake a na pop in and out simba dangote miaka 100000 platinum dhahabu halisiUliwajuaje hao mameneja saba kama hapendi show off au we mke wake