Mameneja wa benki Waoneeni huruma dada zetu

Wote menejaz na hao wadada wanapopoana ni wa kuonewa huruma.
Hii dhana ya mwanaume kulala na idadi kubwa ya wanawake sio ufahari wala sifa nzuri. Wanaume na nyie ifike mahala mkatae kutumika kama atm machine au chombo cha starehe
Mwanaume sio chombo cha starehe, ni ATM card+machine. Mwanamke nj chombo cha starehe, ref. jinsi mwanaume na mwanamke wanavyofanya mapenzi, mmoja anafanywa kama sehemu ya starehe.
 
Watengeneza kucha nao Wana wabutuaaa sana

Ova
 

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kumbe ni wewe
 
Kuna mshikaji wangu anaendesha gari la maji taka la halmashauri, lina namba za NDP, anawamega hatari. Wanajua ni gari lake.
 
Waache tu
 
wadada wa bank wote wanahitaji tu neema ya Mungu. imagine unahesabu mihela ya watu. mwenye salio kubwa akija unamfahamu. Kuna siku pale branch ya mbogamboga CRDB mnazi, nipo kwenye foleni, aliye mbele yangu alitongozana na cashier kwa macho yangu, akaandikiwa na namba ya simu. manake alimwambia niangalizie salio,akamwandikia, nadhali lilikuwa mamia kadhaa ya mamilioni, akamwangalia uso kwa uso wakaangalizana, wakacheka, then akamwambia niandikie namba yako hapo, alikuwa makamo kama 40s hivi nadhani ni mke wa mtu, akaandika. jamaa katoka akifurahia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…