Mameneja wa benki Waoneeni huruma dada zetu

Mameneja wa benki Waoneeni huruma dada zetu

Wote menejaz na hao wadada wanapopoana ni wa kuonewa huruma.
Hii dhana ya mwanaume kulala na idadi kubwa ya wanawake sio ufahari wala sifa nzuri. Wanaume na nyie ifike mahala mkatae kutumika kama atm machine au chombo cha starehe
Mwanaume sio chombo cha starehe, ni ATM card+machine. Mwanamke nj chombo cha starehe, ref. jinsi mwanaume na mwanamke wanavyofanya mapenzi, mmoja anafanywa kama sehemu ya starehe.
 
Watengeneza kucha nao Wana wabutuaaa sana

Ova
 
Kuna meneja wa Exim tawi fulani hapa Dar nilimkata makofi hadharani kwa huu ujinga wa kuamini ukiwa meneja basi utazichakata papuchi hata za wake za watu kirahisi..alikua anamtongoza mke wangu kamtongoza weee mke wangu kila siku anamkatalia mpaka siku ilibidi anionyeshe text zake za mitongozo kesho yake kilichompata anajua mwenyewe..oya we meneja kama upo humu mimi ndo yule mbabe wako wa mwaka jana[emoji23][emoji23]

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kumbe ni wewe
 
Dada zetu sijuhi lini mwalimu wao ata kuwa anaona!
Yani akipigiwa simu na Meneja wa banki amtembelee ofisini kesho yake analiwa kilaini....

Kuna jamaa yangu jirani hapa anawamega hatari
Watoto wakali balaa mtu hadi unafikiria ufanye Banking dah..
Wasameheni tu wanajua mameneja pesa ni zao masikini dah..

Badilikeni dada zetu.
Kuna mshikaji wangu anaendesha gari la maji taka la halmashauri, lina namba za NDP, anawamega hatari. Wanajua ni gari lake.
 
Dada zetu sijuhi lini mwalimu wao atakuwa anaona!
Yani akipigiwa simu na Meneja wa benki amtembelee ofisini kesho yake analiwa kilaini.

Kuna jamaa yangu jirani hapa anawamega hatari.
Watoto wakali balaa mtu hadi unafikiria ufanye Banking dah.
Wasameheni tu wanajua mameneja pesa ni zao masikini dah.

Badilikeni dada zetu.
Waache tu
 
wadada wa bank wote wanahitaji tu neema ya Mungu. imagine unahesabu mihela ya watu. mwenye salio kubwa akija unamfahamu. Kuna siku pale branch ya mbogamboga CRDB mnazi, nipo kwenye foleni, aliye mbele yangu alitongozana na cashier kwa macho yangu, akaandikiwa na namba ya simu. manake alimwambia niangalizie salio,akamwandikia, nadhali lilikuwa mamia kadhaa ya mamilioni, akamwangalia uso kwa uso wakaangalizana, wakacheka, then akamwambia niandikie namba yako hapo, alikuwa makamo kama 40s hivi nadhani ni mke wa mtu, akaandika. jamaa katoka akifurahia.
 
Back
Top Bottom