Mameneja wa benki Waoneeni huruma dada zetu

Mameneja wa benki Waoneeni huruma dada zetu

usinijibu hivyo

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2017
Posts
248
Reaction score
327
Dada zetu sijuhi lini mwalimu wao atakuwa anaona!
Yani akipigiwa simu na Meneja wa benki amtembelee ofisini kesho yake analiwa kilaini.

Kuna jamaa yangu jirani hapa anawamega hatari.
Watoto wakali balaa mtu hadi unafikiria ufanye Banking dah.
Wasameheni tu wanajua mameneja pesa ni zao masikini dah.

Badilikeni dada zetu.
 
Umeshindwa kuwa meneja wa bank kuwa basi hao dada ili ufaidike na wewe.
taratibu mkuu, lakini umemwambia ukweli mtupu, pili pili usioila yakuwasa nini? au hao dada ni mabinti wake, lakini ukichunguza sana huyu aliyeleta hii taarifa hapa hao kina dada wamemukataa, sasa hii ni machungu yake tu
 
sasa bona na wewe usiwe manager wa bank? hii ni machungu tu uko nayo, najua hao mabinti wamekukataa maana hela huna, wakikuona wanasepa, kwahivyo acha watu watafunwe mpaka pale hao mamanager watakapochoka
 
Wote menejaz na hao wadada wanapopoana ni wa kuonewa huruma.
Hii dhana ya mwanaume kulala na idadi kubwa ya wanawake sio ufahari wala sifa nzuri. Wanaume na nyie ifike mahala mkatae kutumika kama atm machine au chombo cha starehe
 
Mwanamke ambaye ni mzuri sana kimwonekano lakini hana akili kichwani basi sehemu zake nyeti zitapata tabu sana [emoji87]
Zinapataje tabu akati zimetengenezwa na rafikiyake rusifa,kwashughuli hiyo wezako panaposuguliwa sana namaranyingi ndo akili zao zinafanya kazi bilahivyo anaweza fuga mbwa ndani.acha wavitumie
 
Back
Top Bottom