Mamia ya raia wa Kenya wakamatwa wakijiandikisha kupiga kura Tanzania

Mamia ya raia wa Kenya wakamatwa wakijiandikisha kupiga kura Tanzania

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Kukamatwa kwa mamia ya wakenya huko ktk mkoa wa Mara, Tanzania kutaka kujiandikisha kuwa wapiga kura, kunaweza kuwa na maana mbili.

1) Kutaka kuhalalisha kupata uraia wa Tanzania, ili kutoroka hali ngumu ya maisha inayowakumba wakenya ikiwa ni pamoja na njaa.

2) Watumike kama mamluki wa Jubilee kupigia kura CHADEMA kama ilivyotokea mwaka 2015 ambapo Jubilee ilipigia kampeni CHADEMA na CHADEMA kumuunga mkono Uhuru Kenyatta 2017.
 

Kukamatwa kwa mamia ya wakenya huko ktk mkoa wa Mara, Tanzania kutaka kujiandikisha kuwa wapiga kura, kunaweza kuwa na maana mbili.

1) Kutaka kuhalalisha kupata uraia wa Tanzania, ili kutoroka hali ngumu ya maisha inayowakumba wakenya ikiwa ni pamoja na njaa.

2) Watumike kama mamluki wa Jubilee kupigia kura CHADEMA kama ilivyotokea mwaka 2015 ambapo Jubilee ilipigia kampeni CHADEMA na CHADEMA kumuunga mkono Uhuru Kenyatta 2017.

The first reason holds water. The Kenyans are known to be good asylum seekers. The economic hardship drives all these.
 
Kukamatwa kwa mamia ya wakenya huko ktk mkoa wa Mara, Tanzania kutaka kujiandikisha kuwa wapiga kura, kunaweza kuwa na maana mbili.
1) Kutaka kuhalalisha kupata uraia wa Tanzania, ili kutoroka hali ngumu ya maisha inayowakumba wakenya ikiwa ni pamoja na njaa.
2) Watumike kama mamluki wa Jubilee kupigia kura CHADEMA kama ilivyotokea mwaka 2015 ambapo Jubilee ilipigia kampeni CHADEMA na CHADEMA kumuunga mkono Uhuru Kenyatta 2017.
3)ama ni ccm inajiandaa(hook or crook) kwa uchanguzi kuu mwaka ujao
 
Hakuna raia wanaopigana Vita vya usiku na mchana ili wawe Watanzania kama raia wa Kenya
Mkuu kuna jamaa yangu mkenya alishaniomba nimfanyie mpango apate pasi ya Tanzania,kuna mwingine juzi kati tu kaniomba nimfanyie mpango anunue kiwanja bongo tena akaenda mbali zaidi yuko tayari hata kuoa dada wa kitanzania ili mradi tu atimize ndoto yake ya kuishi bongo!
 
Naongea kwa uzoefu, nimeshafanya kazi na wakenya sehemu mbalimbali, hawa jirani zetu kuishi nao ni kazi kubwa, ni wa binafsi sana pia wanafki, wana wivu, hata kama umemkaribisha yuko tayari akufitini ili ufukuzwe, (majority niliofanya nao kazi ila sio wote)
 
Naongea kwa uzoefu, nimeshafanya kazi na wakenya sehemu mbalimbali, hawa jirani zetu kuishi nao ni kazi kubwa, ni wa binafsi sana pia wanafki, wana wivu, hata kama umemkaribisha yuko tayari akufitini ili ufukuzwe, (majority niliofanya nao kazi ila sio wote)
Sawa sawa unayosema, siasa za ubepari zikichanganyika na umasikini, matokeo yake ni ubinafsi, wivu na roho mbaya.
 
Hakuna raia wanaopigana Vita vya usiku na mchana ili wawe Watanzania kama raia wa Kenya
Hilo Kweli kabisa harafu watanzania hawana hata mawazo ya kutaka kuishi Kenya tena sio Kenya hata nchi zingine ni mara chache sana
 
Mm naona kama tutafungua mipaka ya hizi nchi tatu TZ, KNY na UG iwe unaweza kwenda nchi yoyote kama vile unaenda nzanzibar tu hata barua ya mwenyekiti bc Kenya itabaki Empty wote watakimbilia TZ Uganda tatakuja ila wachache na wa TZ wataenda ila Kenya & Uganda ila kwa muda tu lazima watarudi kwasababu wa TZ kwanza hawajazoea ubaguzi sasa kuishi huku unakodolewa macho huyu m bongo inakua kero ndo mana ukija bongo kila mtu na mishe zake hamna sijui huyo mpemba huyu mchaga huyu msukuma kila mtu anakula kwa ulefu wa kamba yake hamna kufatiliana
Kweli kabisa ulivyosema, kama Tanzania ikiruhusu wakenya kuja kuishi Tanzania, ninahisi hata Uhuru Kenyatta atauvua urais wake kuja kuishi ktk nchi ya maziwa na asali.
 
Tuna ardhi kubwa sana ambayo hata hatujui matumizi yake na wao wanatafuta fursa kwa kila njia na wapo wanaowapa hizo fursa ili wajimilikishe kwa njia yeyote
Ifike mahali kama kuwakodishia walipe kodi stahiki kwa miaka kadhaa na ikiisha wanaongezewa ili tupate wawekezaji wa maana
Wanatamani kupata hata garden kwao na kuiita shamba
 
Back
Top Bottom