Mamlaka Chamwino zidhibiti wanaosambaza nyama kwa kutumia mikokoteni

Mamlaka Chamwino zidhibiti wanaosambaza nyama kwa kutumia mikokoteni

Pac the Don

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2021
Posts
6,170
Reaction score
7,710
Wakuu habarini za leo,

Nimeona niliweke wazi jambo hili humu ili liwafikie wahusika. Nimelala mara kadhaa maeneo ya Chamwino nikishuhudia nyama ya ng'ombe ikisambazwa mabuchani kwa mkokoteni wa chuma na mabati tena yenye kutu ingawa yalipigwa rangi. Still ukiangalia angle zote za mkokoteni kuna kutu

Je, wahusika hawalioni hili kama ni hatari kwa watumiaji wa nyama?

Ewe afisa afya hapo Chamwino tafadhali habari hii ikufikie. Biashara ya kusambazwa kwa kitoweo kwenye mkokoteni isitishwe mara moja na hatua salama zichukuliwe!!
 
Maendeleo ni watu sio majengo na kuizungushia Dodoma ring roads
Msisitizo uwe kwenye elimu DDM
 
Wakuu habarini za leo, nimeona niliweke waz jambo hili humu ili liwafikie wahusika. Nimelala mara kadhaa maeneo ya chamwino ikulu nikishuhudia nyama ya ng'ombe ikisambazwa mabuchani kwa mkokoteni wa chuma na mabati tena yenye kutu ingaw yalipigwa rangi. Still ukiangalia angle zote za mkokoteni kuna kutu, je wahusika hawalioni hili kama ni hatari kwa watumiaji wa nyama? Ewe afisa afya hapo chamwino tafadhali habari hii ikufikie. Biashara ya kusambazwa kwa kitowea kweny mkokoteni isitishwe mara moja na hatua salama zichukuliwe!!

Issue sio chombo cha chuma au cha kusukuma, hayo mabati kwenye magari na mkokotoni yote ni shida
 
Wakuu habarini za leo, nimeona niliweke waz jambo hili humu ili liwafikie wahusika. Nimelala mara kadhaa maeneo ya chamwino ikulu nikishuhudia nyama ya ng'ombe ikisambazwa mabuchani kwa mkokoteni wa chuma na mabati tena yenye kutu ingaw yalipigwa rangi. Still ukiangalia angle zote za mkokoteni kuna kutu, je wahusika hawalioni hili kama ni hatari kwa watumiaji wa nyama? Ewe afisa afya hapo chamwino tafadhali habari hii ikufikie. Biashara ya kusambazwa kwa kitowea kweny mkokoteni isitishwe mara moja na hatua salama zichukuliwe!!
Inanikumbusha nzi wa chako ni chako,nilishindwa kula aisee , Dodoma kuchafu wagogo wachafu sijapata kuona na wanavyo penda nyama na uchafu wao sijui miaka ijayo maana idadi ya watu inakuwa kwa kasi sana

USSR
 
Inanikumbusha nzi wa chako ni chako,nilishindwa kula aisee , Dodoma kuchafu wagogo wachafu sijapata kuona na wanavyo penda nyama na uchafu wao sijui miaka ijayo maana idadi ya watu inakuwa kwa kasi sana

USSR
Mkuu ni hatari san isipochukuliwa hatua za haraka! Haiwezekan nyama isambazwe kupitia mkokoteni tena wa bati zilizochoka.
 
Umeshafika mnadani siku ya Jumamosi.?
Nilikwendaga na jamaa siku moja ,
Jamaa ulikataa kabisa Kula nyama pale kwamba zinaandaliwa ktk mazingira machafu.
Mi nikala zangu za kutosha.
Kusema kweli na mazingira ya kule mnadani yaboreshwe
 
Issue sio chombo cha chuma au cha kusukuma, hayo mabati kwenye magari na mkokotoni yote ni shida
Cjui kama umeelewa concept yang juu ya jambo hili, kuna vyombo maalum vya kufanyia supplying ya vyakula. Mkokoteni nimeona mwenyew sio mara moja umechoka sana!
 
Umeshafika mnadani siku ya Jumamosi.?
Nilikwendaga na jamaa siku moja ,
Jamaa ulikataa kabisa Kula nyama pale kwamba zinaandaliwa ktk mazingira machafu.
Mi nikala zangu za kutosha.
Kusema kweli na mazingira ya kule mnadani yaboreshwe
Hakika ✔️
 
Issue sio chombo cha chuma au cha kusukuma, hayo mabati kwenye magari na mkokotoni yote ni shida
Unasema issue sio chombo cha chuma! Unajijibu tena kua mabati kweny magari na mkokoteni yote ni shida 🤣🤣🤣🤣
 
Wakuu habarini za leo,

Nimeona niliweke wazi jambo hili humu ili liwafikie wahusika. Nimelala mara kadhaa maeneo ya Chamwino nikishuhudia nyama ya ng'ombe ikisambazwa mabuchani kwa mkokoteni wa chuma na mabati tena yenye kutu ingawa yalipigwa rangi. Still ukiangalia angle zote za mkokoteni kuna kutu

Je, wahusika hawalioni hili kama ni hatari kwa watumiaji wa nyama?

Ewe afisa afya hapo Chamwino tafadhali habari hii ikufikie. Biashara ya kusambazwa kwa kitoweo kwenye mkokoteni isitishwe mara moja na hatua salama zichukuliwe!!
Kazi yako kulipa kodi afiya yako juu yako
 
Umeshafika mnadani siku ya Jumamosi.?
Nilikwendaga na jamaa siku moja ,
Jamaa ulikataa kabisa Kula nyama pale kwamba zinaandaliwa ktk mazingira machafu.
Mi nikala zangu za kutosha.
Kusema kweli na mazingira ya kule mnadani yaboreshwe
Chakula chochote cha moto ni salama kuliwa
 
Huko chamwino si ndio kule kwenye ikulu ya jiwe? yaani nyama wanabebea mikokoteni ;loh kweli wagogo mna kazi sana, any way mliokimbilia huko ndio mtajua hamjui, JIWE alikua kichaa
 
Back
Top Bottom