Mookiesbad98
JF-Expert Member
- Feb 1, 2015
- 2,805
- 3,640
Ewe Waziri wa Ardhi, Halmashauri, Tanroads na tarura.
Tunaomba sana watu wote wanaojenga ovyo magenge mitaani, vibanda vya mkaa na wale waliojenga road reserve hata kama ni wakubwa wabomolewe haraka.
Sehemu za kupita zimekuwa finyu. Fujo na uswahili umezidi. Piteni mitaa yote Dar mvunje hivi vigenge.
Msisahau hata baa maarufu ya Rose garden imejengwa kwenye road reserve . Kusiwe na exceptions.
Maeneo kama Magomeni Mikumi watu wote wamezidisha kujenga mbele ya mawe yao ya viwanja. Mpaka waenda kwa miguu hawana pa kupita.
Nawasilisha
Tunaomba sana watu wote wanaojenga ovyo magenge mitaani, vibanda vya mkaa na wale waliojenga road reserve hata kama ni wakubwa wabomolewe haraka.
Sehemu za kupita zimekuwa finyu. Fujo na uswahili umezidi. Piteni mitaa yote Dar mvunje hivi vigenge.
Msisahau hata baa maarufu ya Rose garden imejengwa kwenye road reserve . Kusiwe na exceptions.
Maeneo kama Magomeni Mikumi watu wote wamezidisha kujenga mbele ya mawe yao ya viwanja. Mpaka waenda kwa miguu hawana pa kupita.
Nawasilisha