winnerian
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 379
- 603
Kamwe mtu ambaye hana nguvu wala mamlaka hawezi kufanya maamuzi sahihi na yenye tija kwa wale anaowaongoza.
Pia kinga ya Rais ibaki kama ilivyosasa kumtoa wasiwasi wa kufanya maamuzi na kutoa amri. Unapokuwa na wasiwasi pamoja na uoga wa kukosea huwezi kufanya kazi kwa ufanisi na uhuru.
Kitu pekee cha kuzingatia ni namna ya upatikana wa Rais ambae ni mwerevu na mwenye busara nyingi kuliongoza taifa kwa weledi na uzalendo.
Pia kinga ya Rais ibaki kama ilivyosasa kumtoa wasiwasi wa kufanya maamuzi na kutoa amri. Unapokuwa na wasiwasi pamoja na uoga wa kukosea huwezi kufanya kazi kwa ufanisi na uhuru.
Kitu pekee cha kuzingatia ni namna ya upatikana wa Rais ambae ni mwerevu na mwenye busara nyingi kuliongoza taifa kwa weledi na uzalendo.