Kumrundikia rais power kubwa ni hatari, ni kumfanya kuwa na maamuzi ya kifalme badala ya kufanya maamuzi kwa mujibu wa sheria.
Katiba inayompa mamlaka makubwa rais ni ya kidikteta, mahakama na bunge haviwezi Kuwa huru kutimiza Majukumu yake ipasavyo,
Mfano mzuri ni awamu ya tano namna rais alivyoingilia bunge na mahakama kwa kigezo kuwa yeye ndiye anayewateua.
Huu ni uenda wazimu