Mamlaka ya Bandari (TPA) yatoa ufafanuzi kuhusu hali ya ajira za Watumishi wa Bandari ya Dar es Salaam

Mm ni mmojawapo ninaeona bora watu weupe waendeshe bandari. Nna mzigo tokea January 7 2024 mpk leo March mwishoni hailujafika. Kwa haraka haraka mzigo wangu una siku 80 haujapakuliwa bandarini. Sasa si ushenzi huu.
 
Watasamnazwa bandari zingine kama Tanga,Mtwara,Mbambay na nyinginezo.
Kwani hizo DP World kazikataa? Mkataba ulisema ataendesha bandari zote za bahari kuu, na za maziwa yote. Au walibadirisha baadaye?
 
Hebu tueleze mkuu upogaji wa TPA ni upi!?
Mtu anayehusika na kuchukua kodi ni TRA hao TPA wanapiga madili gani!?
Au ndio hearsay
Watu wana amini TPA kila kitengo unapiga pesa. TPA inatoa huduma ya kushusha mizigo wao wanakusanya Port charges,handling charges na wharfage.

Anayekusanya ushuru ni TRA, uwezi kutoka kwenye geti la bandari bila kulipa kodi hata ukiwa umelipa gharama zote za bandari
 
Mm ni mmojawapo ninaeona bora watu weupe waendeshe bandari. Nna mzigo tokea January 7 2024 mpk leo March mwishoni hailujafika. Kwa haraka haraka mzigo wangu una siku 80 haujapakuliwa bandarini. Sasa si ushenzi huu.
Mkuu mzigo umeshuka, hapo itakuwa changamoto ni kuutoa. Clearing Agent wako alipata documents na akaanza mchakato mapema wa kuutoa.

Pia mzigo wako inawezekana agent kakamilisha baadhi ya hatua, ila alicho declare upande wa TRA na uhalisia wa mzigo ni tofauti hapo inabidi mkono uwe mwepesi au kama ni vitu vinahitaji ukaguzi wa TBS au TFDA kuna sehemu hapako sawa. Siku 80 hasara kubwa sana, hapo mzigo wako utatakiwa ulipe storage charges ya siku 70+, sheria ya mzigo wa ndani kukaa ni siku 7 baada ya hapo unalipa kila siku
 
Serikali na baadhi ya wananchi bendera fuata upepo walipuuza sana hoja za wakili Mwabukusi kuhusu haya yanayotokea mpaka watakiri hadharani kwamba kuna kosa kubwa sana serikali ilifanya kuhusu mktaba wa DPW kwa maslahi ya taifa na wananchi kwa ujumla watageuka manamba ndani ya nchi yao.
 
Wafanyakazi mliohamia DP world tuambieni wapi Kuna unafuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…