[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa bangi kweliHaiwezekan mvua itoke kwetu ikanyeshe kwao afu wasiilipie kodi ..heko jpm kwa uongoz imara na msimamo wako wakuizuia kwa maendeleo ya wakulima wa tz
Sent using Jamii Forums mobile app
RubbishHao albino na watoto mnachinja huko ndio vinatuponza kwa mlivyo wachawi.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Haiwezekan mvua itoke kwetu ikanyeshe kwao afu wasiilipie kodi ..heko jpm kwa uongoz imara na msimamo wako wakuizuia kwa maendeleo ya wakulima wa tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekan mvua itoke kwetu ikanyeshe kwao afu wasiilipie kodi ..heko jpm kwa uongoz imara na msimamo wako wakuizuia kwa maendeleo ya wakulima wa tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu,tutamuagiza waziri wetu wa kusafiri poropesa kabugi akakusanye kodi yetu huko.Ila wakenya mkilipa daini risiti tena efd siyo ya mkono
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako sahihi, mbona wetu waliposema mvua iliyotakiwa kunyesha imekwama Msumbiji haukusema!Idara ya hali ya anga nchini Kenya inasema kuwa kiangazi kitaendelea hadi mwisho wa mwezi huu huku upepo wa mvua ukisalia nchini Tanzania kutokana na kiwango cha chini cha upepo.
Mvua ndefu itaanza kunyesha katika maeneo mengi ya Kenya ifikiapo miwsho wa mwezi huu, wataalam wa hali ya anga wamesema.
Kaimu mkurugenzi wa shirika la hali ya anga nchini Kenya Stella Aura alielezea kwamba upepo wenye mvua umekwama nchini Tanzania kutokana na shinikizo ya kiwango cha chini ambayo haiwezi kuisukuma mvua hiyo kuelekea kaskazini mwa Kenya.
Mwezi Aprili ndio mwezi wa mvua ndefu nchini Kenya na onyo limetolewa katika maeneo kadhaa ya Kenya kuhusu kuchelewa kwake.
”Mvua ya msimu husababishwa na upepo wa mvua unaoelekea kaskazini lakini kufikia sasa upepeo huo haujaelekea kaskazini”, aliambia vyomb vya habari.”Mvua imekwama nchini Tanzania, mifumo ya upepo iliopo kusini haijashikamana kuweza kusukuma mawingu hivyobasi mvua itachelewa , lakini mvua itaanza kunyesha mwisho wa mwezi huu”, alisema.
Source: BBCView attachment 1069165View attachment 1069166
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulianza sisi kusema mvua iliyotakiwa ianze kunyesha mwezi wa tatu imekwama Msumbiji.Hahaha hizi tabiri za hali ya hewa za Africa mashariki zinachekesha sana
Huu ungeuweka kule jukwaa la kenya
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hata huku ilipokwama hainyeshi, kwani TMA wanasemaje?Idara ya hali ya anga nchini Kenya inasema kuwa kiangazi kitaendelea hadi mwisho wa mwezi huu huku upepo wa mvua ukisalia nchini Tanzania kutokana na kiwango cha chini cha upepo.
Mvua ndefu itaanza kunyesha katika maeneo mengi ya Kenya ifikiapo miwsho wa mwezi huu, wataalam wa hali ya anga wamesema.
Kaimu mkurugenzi wa shirika la hali ya anga nchini Kenya Stella Aura alielezea kwamba upepo wenye mvua umekwama nchini Tanzania kutokana na shinikizo ya kiwango cha chini ambayo haiwezi kuisukuma mvua hiyo kuelekea kaskazini mwa Kenya.
Mwezi Aprili ndio mwezi wa mvua ndefu nchini Kenya na onyo limetolewa katika maeneo kadhaa ya Kenya kuhusu kuchelewa kwake.
”Mvua ya msimu husababishwa na upepo wa mvua unaoelekea kaskazini lakini kufikia sasa upepeo huo haujaelekea kaskazini”, aliambia vyomb vya habari.”Mvua imekwama nchini Tanzania, mifumo ya upepo iliopo kusini haijashikamana kuweza kusukuma mawingu hivyobasi mvua itachelewa , lakini mvua itaanza kunyesha mwisho wa mwezi huu”, alisema.
Source: BBCView attachment 1069165View attachment 1069166
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya vuta nkuvute ya muda mrefu watanzania wameamua kukwamisha mawingu yanayoelekea kenya wachambuzi wa maswala ya kisiasa wanasema hili ni jambo la hatar kuwahi kutokea nA hivyo wanamwachia rais wa kenya afanye maamuzi kwan tanzanja haivumiliki iliuchukua mlima kilimanjaro na sasa imeamua kuzichukua mvua za kenya chanzo bbc