njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Ila daslamu joto litaua mtu wazee khah.,nb huku nilipo manyunyu na upepo mkali ndio vinaanza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapigaje hiyo.Misso Misondo
Uko nchi gani au mkoa gani ambapo baada ya saa 9:00 jioni jua linatoka?Baada ya mvua kubwa zilizoharibu kila zao lililopandwa, sasa zimetulia.
Ikifika saa 8:30 mpaka saa 9:00 jioni, kunakuwa na wingu zito sana kama vile mvua kubwa itanyesha sasa hivi. Kila mtu anakimbizana kuwahi kujikinga na mvua.
All of a suden after 30 minutes /1 hr or so, wingu zito linayeyuka na jua linatoka likiwa kali. Leo ni observation ya tatu!
Hali hiyo inaletwa na nini? scientific explanation ni ipi?
Mbona mbezi hakuna kitu zaidi ya tumanyunyu tuUbungo imenyesha kubwa sana usiku huu
Duh ubungo hapa darajani imegonga ya nguvu mnoMbona mbezi hakuna kitu zaidi ya tumanyunyu tu
Ni hivi, kunakucha na jua kali, majira ya saa 9 kueleka kumi linatanda wingu kuba as if mvua itanyesha any moment , tena mvua kubwa. Watu tunakimbizana kuwahi kutafuta pa kujikinga mvua kama uko barabarani/au unatoa vitu vyote nje na kuviingiza ndani visilowe. All of a sudden wingu lianyeyuka na juka kali linatoka tena..... understsnd?Uko nchi gani au mkoa gani ambapo baada ya saa 9:00 jioni jua linatoka?
exactly....Huyu bwana anachozungumzia ni kweli,ni wingu hasa,jana ni kama siku ya tau kushuhudia hiyo kitu.
Yes, understood. Mkuu ni mkoa gani huko?Ni hivi, kunakucha na jua kali, majira ya saa 9 kueleka kumi linatanda wingu kuba as if mvua itanyesha any moment , tena mvua kubwa. Watu tunakimbizana kuwahi kutafuta pa kujikinga mvua kama uko barabarani/au unatoa vitu vyote nje na kuviingiza ndani visilowe. All of a sudden wingu lianyeyuka na juka kali linatoka tena..... understsnd?