Mamlaka ya hali ya hewa (TMA) tunaomba maelezo juu ya hili

Uko nchi gani au mkoa gani ambapo baada ya saa 9:00 jioni jua linatoka?
 
Uko nchi gani au mkoa gani ambapo baada ya saa 9:00 jioni jua linatoka?
Ni hivi, kunakucha na jua kali, majira ya saa 9 kueleka kumi linatanda wingu kuba as if mvua itanyesha any moment , tena mvua kubwa. Watu tunakimbizana kuwahi kutafuta pa kujikinga mvua kama uko barabarani/au unatoa vitu vyote nje na kuviingiza ndani visilowe. All of a sudden wingu lianyeyuka na juka kali linatoka tena..... understsnd?
 
Yes, understood. Mkuu ni mkoa gani huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…