Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washa adapt labda ndio explanation iliyopo ? Maana kama Eskimo wa eastern Siberia na Alaska wanavaa masweta ya ngozi wao ni kina nani wasivae waizoee baridi hivyoKuna video nimeiona imechukuliwa makete, Yani Ile Ni snow kabisa Kama vile uko ulaya. Snow Imejaa barabarani Halafu watoto wanaenda shule wamevaa kaptula mpaka unajiuliza hiyo baridi miguuni haiwapigi.
Uingereza kwa sasa kuna joto la kufa mtu hadi hali ya hatari imetangazwa.Njombe kama ulaya yaani daah baridi sio mchezo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]TMA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna video nimeiona imechukuliwa makete, Yani Ile Ni snow kabisa Kama vile uko ulaya. Snow Imejaa barabarani Halafu watoto wanaenda shule wamevaa kaptula mpaka unajiuliza hiyo baridi miguuni haiwapigi.
Kutokana na baridi na kuonekana vitu kama barafu kwa siku za karibuni maeneo ya Njombe hali ambayo imesababisha watu wengi wawe na maswali tofauti kimefafanuliwa.
Mamlaka Hali ya Hewa Nchini (TMA) imefafanua kuwa kinachotokea maeneo ya Njombe kwa siku kadhaa ni kutokea kwa Sakitu, ambapo hiyo ni hali ya kuganda kwa umande katika eneo la uso wa ardhi kwa muonekanao inakuwa kama theluji.
Meneja TMA, Samwel Mbuya amesema: “Tumeangalia kitaalamu na kugundua kinachotokea ni Sakitu au ‘frosty’, hiyo inatokana na baridi kuwa kali na kwa kuwa kuna upepo wa kusi inasababisha maeneo mengine kuongezeka kwa baridi kutokana na upepo huo.
Chanzo: Azam TV
au sio!huu usi bila picha wala video ni magumashi
well, sijajua kama Njombe huwa kuna joto kali, napasikiaga kusifika kwa baridiUingereza kwa sasa kuna joto la kufa mtu hadi hali ya hatari imetangazwa.
Njombe napo huwa kuna joto kali kipindi fulani?