Mamlaka ya Hali ya Hewa yafafanua baridi la Njombe: Kinachotokea ni Sakitu siyo theluji

Kuna video nimeiona imechukuliwa makete, Yani Ile Ni snow kabisa Kama vile uko ulaya. Snow Imejaa barabarani Halafu watoto wanaenda shule wamevaa kaptula mpaka unajiuliza hiyo baridi miguuni haiwapigi.
Washa adapt labda ndio explanation iliyopo ? Maana kama Eskimo wa eastern Siberia na Alaska wanavaa masweta ya ngozi wao ni kina nani wasivae waizoee baridi hivyo
 
Kuna video nimeiona imechukuliwa makete, Yani Ile Ni snow kabisa Kama vile uko ulaya. Snow Imejaa barabarani Halafu watoto wanaenda shule wamevaa kaptula mpaka unajiuliza hiyo baridi miguuni haiwapigi.

Mwili umekuwa ume adopt hiyo hali.

Wanyama tuna tabia ya kubadili hali ya joto la mwili kulingana na hali ya mazingira ili tuendelee kuwa hai.

Wewe ambaye hujazoea hiyo hali, kwa siku za mwanzo utapata shida sana.

Hao watoto wanahisi ni kawaida kwa sababu wamesha adopt hiyo hali
 
Sakitu 🐒
Your browser is not able to display this video.
 
Wabongo bhana. Wao wamesema hio si theluji(snow) Bali ni sakitu(frost). Hawana maana kuwa Njombe hakuna baridi ipo ndio maana inagandisha hadi umande unaoleta barafu. ILA hakuna snowing.
 
Kwani Frosty ni nini? Sii ni baridi lilioganda ikimanisha barafu nyepesi...

Ila siyo barafu ya kudondoka kutokea juu...
 

Sakitu ndio Frost, kweli kiswahili kimekuwa sana.🤣
 
hakuna mwenye walau kapicha ka sakitu kweli...
 
Uingereza kwa sasa kuna joto la kufa mtu hadi hali ya hatari imetangazwa.

Njombe napo huwa kuna joto kali kipindi fulani?
well, sijajua kama Njombe huwa kuna joto kali, napasikiaga kusifika kwa baridi
 
Kuna Mwalimu mmoja wakati anasoma Makete,alisema kuwa kuna kipindi maji yalikuwa hayatoki asubuhi,akiuliza anajibiwa maji yameganda subiri baadae yayeyuke kwanza.Yeye ni mtu wa Iringa lakini alisema baridi ya Makete amenyoosha mikono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…