Mamlaka ya kutoa leseni za udereva angalieni watu mnaowapa hizo leseni

dyuteromaikota

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
5,929
Reaction score
8,327
Unakuta mtu yupo yupo tu lakini basics za barabarani hajui hata kidogo. Mtu ameblock barabara na wala haoni shida.

Mtu amekukuta umepaki sehemu anakuja kukublock ushindwe kutoka mpaka umuite! Mbaya zaidi wakati anapark kulikuwa na nafasi kubwa tu ya kumfanya asikublock.

Inaudhi sana.
 
Mimi hua ninaamini kwamba, sio kila anae weza kuendesha gari ni dereva.
Kwamfano, wife ananuonga chuma daily kwenda job lakini hiyo haijatosha kusema kwamba wife ni dereva.
 
Pole Sana
Ni dharau tu
 
Ulivyo andika "kitambi" umekosa maana, unawasiwasi si ajabu hata hilo gari huna!!😳
Nb: sina kitambi ila kuna watu wenye vitambi na heshima zao
 
Uzi huu umewalenga watu wenye vitambi tu.
 
Kama muhimbili mule ndani baadhi ya maeneno watu wana park hovyo hovyo ushamaliza shughuli zako unafika parking unakuta gari imeblock kutoka haiwezekani inabidi usuburi linakuja jamaa linajichekesha chekesha kuondoa gari yake kama demu
Unatamani ulipige kerbu
 
Nilichogundua watu wengi wanaoendesha magari binafsi hawakwenda kusoma udereva au kama walisoma hawakuzingatia masomo.
1. Gari ni kama nguo liendeshe wewe tu. Usimpe mtu hata kama ni ndugu yako. Akanunue Lake.
2. Fuata sheria barabarani
3. Tunza gari kwa huduma nzuri na liwe safi.

NB: Dereva hua anafanana na gari lake.
 
Kwanza hongera kwa kumiliki usafiri.
 
Ukute una IST. Mna dharau sana nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…