Mamlaka ya Maji Machame, nimelipa kuunganishiwa maji wananizungusha hadi leo

Mamlaka ya Maji Machame, nimelipa kuunganishiwa maji wananizungusha hadi leo

Jaquelines

New Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
4
Reaction score
3
Nimelipa gharama za kufungiwa maji na vifaa nimenunua tangu tarehe 2 January 2024 lakini wanazungushana kutoa mita.

Mhasibu anasema mpaka fundi aje na fundi anasema mpaka aitwe kwenye kazi. Kama vile hakuna ushirikiano wa kazi lakini wao ofisi moja.
 
elf 10 tu dakik 5 mita ipo nyumban
Rushwa inetawala sana

Ukikaa ivo utasubiri saaanaaaa
 
Inasikitisha sana, tuliomba kuunganishiwa maji mwezi wa 7 mwaka 2023. Control number tukapewa mwezi wa 3 mwishoni baada ya kutoa malalamiko yaani control number imechukua miezi 8 kuipata.

Sasa tumelipia kuunganishiwa maji tarehe 7 mwezi wa 4 hadi muda huu siku 7 za mkataba wa kuunganishiwa maji zimekwisha hamna dalili ya kuhudumiwa.

Ni takribani miezi 10 mpaka sasa tangu tangu tufanye maombi ya kuunganishiwa maji lakini hatujaambulia kitu. Wanadai vifaa hakuna bila hata kujiuliza hivyo vifaa mteja anahisikaje?!

Nimepanga kupeleka malalamiko wizara husika pamoja na takukuru. Ili haki na uwajibikaji uchukue mkondo. DAWASA ni bomu lingine ni wazembe sana.
 
Back
Top Bottom