Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) yamwaga ajira

Vyet vinagoma ku upload aisee ni noma. Nyie mnafanyaje huko??
Hata kuingia wengine tumeshindwa. Nadhani system ipo chini watu ni wengi wanaotuma maombi.

 
Oya wadau. Mimi nimeoa je nikiweka married pale kwny stutas vp haiwez kuniharibia au Nd vizur Zaid maan sina uzoefu
 
Kazi nzuri ya Samia hii
 
Ni kweli mzee. Mimi nimejaribu ku upload vimeenda, ila sasa ukitaka kwenda kwenye vacancy ili ufanye application yenyewe mfumo unasema "Incomplete application" wakati kila kitu kimejazwa. Mfumo una shida sana.
Nilijua ni mm wasiliana nao mkuu waambie mfumo hauonesh sehem ya ku apply
 
Kama una changamoto yoyote kwenye kutuma maombi kwenye hizi ajira zaidi ya 1500 za TRA au unahitaji kusaidiwa kufanya maombi kuanzia kufungua account,mpka kumaliza mchakato huu ote ndani ya saa moja nicheki
0749442229 au Whatsapp0744983130
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…