chlorine gas
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 2,522
- 2,651
Wakuu naomba nielekezwe namna ya kutengeneza password mana kila nikijaribu inagoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama umepiga CPA vitu vya jawaida hvCalculate VAT claims
Acha utaandika married ukipata kazi.Oya wadau. Mimi nimeoa je nikiweka married pale kwny stutas vp haiwez kuniharibia au Nd vizur Zaid maan sina uzoefu
Aseeh kwenye income tax, indirect tax, plus nyngn za bachelor mbn unaweza fanyakama umepiga CPA vitu vya jawaida hv
Kuna changamoto yoyote kusema kama mtu ameoa mkuu..?Acha utaandika married ukipata kazi.
Hakuna ila kwenye kufanya attachment sometimes inazingua unakuta mwingine hana hata cheti cha ndoa na ukisema married inabidi uthibitishe kama ni kweli.Kuna changamoto yoyote kusema kama mtu ameoa mkuu..?
Owkey ina onekana wakati wa oral interview wana weza kuomba ushahidi wa cheti cha ndoa mkuu.Hakuna ila kwenye kufanya attachment sometimes inazingua unakuta mwingine hana hata cheti cha ndoa na ukisema married inabidi uthibitishe kama ni kweli.
Hata sio cpa,mtu yeyote aliyesoma accounts somo la taxation hiyo kitu anaimudukama umepiga CPA vitu vya jawaida hv
Hivi na wewe ni msomi kweli hata kuandika hujui?Wapi unawek Chet cha ndoa mbon minaji race San vijan dah. Me mbon sijaon hio option.
Na pia nauliza wadau kusem km umeoa haiwez kuleta shida baadae au bor kuwek single Tu
Msomi wew apo unaejua kuandika vzrHivi na wewe ni msomi kweli hata kuandika hujui?
Kama hawajasema,we omba ila watakuchagua moja tu na hasa hasa watakuchagua first priority yakoWazima ndugu
Kwenye hizi ajira za tra unaruhusiwa kuomba kazi zaidi ya moja