Mamlaka ya Palestina yaungana na Israel kupiga marufuku Al Jazeera.

Mamlaka ya Palestina yaungana na Israel kupiga marufuku Al Jazeera.

Chama tawala cha Fatah cha Mamlaka ya Palestina (PA) kimepiga marufuku shirika la habari la Al Jazeera lenye makao yake nchini Qatar kufanya kazi katika maeneo ya Judea na Samaria, likilituhumu kwa uchochezi, miezi kadhaa baada ya Israel kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa ripoti ya World Israel News Staff, Mamlaka ya Palestina imepiga marufuku mtandao wa Al Jazeera kufanya shughuli zake ndani ya maeneo ya uhuru wa Judea na Samaria, kwa mujibu wa ripoti ya chombo cha habari cha Israeli, Walla.
Ripoti hiyo ilidai kuwa chama tawala cha Palestina, Fatah, kilitoa marufuku hiyo katika sehemu za Maeneo A na B – sehemu mbili za Judea na Samaria zilizo chini ya udhibiti wa kiraia wa PA – kutokana na jinsi Al Jazeera inavyoripoti kuhusu vurugu zinazoendelea kati ya Kikosi cha Usalama wa Taifa cha Palestina (PNSF) – polisi ya kijeshi ya PA – na muungano wa makundi ya kigaidi yanayofanya kazi katika mji wa kaskazini wa Samaria, Jenin.
Ripoti hiyo ilisema kuwa Fatah imelituhumu Al Jazeera kwa “kusababisha migogoro na uchochezi” dhidi ya juhudi za PA za kudhibiti machafuko ya wananchi, ikiwemo mapigano katika Jenin.
Kwa miezi kadhaa, vikosi vya PNSF vimejaribu kudhibiti machafuko ya wananchi katika maeneo ya Judea na Samaria.
Mapema mwezi huu, vikosi vya PNSF vilivamia Jenin kupambana na Kikundi cha Jenin Brigades, muungano wa makundi ya kigaidi, yakiwemo Hamas, ambayo yamekuwa yakidhibiti mji huo tangu mwaka 2022.
Tangu Desemba 5, vikosi vya PA vimekuwa vikikabiliana na Kikundi cha Jenin Brigades wakiwa wanajaribu kurejesha udhibiti wa mji huo.
Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Palestina, Walla iliripoti kwamba uamuzi huo unalenga hasa shughuli za Al Jazeera katika Samaria, ikijumuisha miji ya Shechem (Nablus), Jenin, Tubas, Tulkarem, Qalqilya, na Salfit.
PA inaripotiwa kulituhumu shirika hilo la Qatar kwa kuripoti kwa upendeleo kwa niaba ya Hamas, ikirejea madai yaliyotolewa na Israel wakati wa vita dhidi ya kundi hilo la kigaidi lenye makao yake Gaza.
“Tumeamua kupiga marufuku kuingia kwa Al Jazeera, na tunawahimiza wananchi kutojihusisha kwa njia yoyote na kituo hiki,” ripoti hiyo ilinukuu chama cha Fatah kikisema.
“Al Jazeera ina jukumu hatari nchini Palestina. Inasambaza chuki na kuchochea vita vya wenyewe kwa wenyewe. Al Jazeera inaunga mkono wavunjaji wa sheria na inajaribu kuwaonyesha kama mashujaa wanaopigana dhidi ya ukoloni.”
Mwezi Mei, serikali ya Israel ilipitisha uamuzi wa kuzuia Al Jazeera kufanya kazi nchini humo, ikilituhumu kwa kuendeleza makundi ya kigaidi, yakiwemo Hamas, ambapo marufuku hiyo ilianza kutekelezwa na kusababisha kufungwa kwa shughuli za shirika hilo nchini Israel.

Links:

Al Jazeera condemns Fatah campaign against it in West Bank

Al Jazeera slams Fatah, Palestinian Authority over northern West Bank operations ban
Hili kwa waarabu kugeukana ni kawaida.
Ndio maana waarabu duniani hawaishi kuteseka kwa tabia ya kugeukana.
Watakuja kuikumbuka Aljazeera hao PA muda utaongea.
Aljazeera pekee ndio ilikua inafanya coverage za ndani kabisa hapo kwao,na Aljazeera iliendesha kampeni nyingi tu za uhuru wao.
Subiri muda utaongea.
 
Hili kwa waarabu kugeukana ni kawaida.
Ndio maana waarabu duniani hawaishi kuteseka kwa tabia ya kugeukana.
Watakuja kuikumbuka Aljazeera hao PA muda utaongea.
Aljazeera pekee ndio ilikua inafanya coverage za ndani kabisa hapo kwao,na Aljazeera iliendesha kampeni nyingi tu za uhuru wao.
Subiri muda utaongea.
Wamekosa shukrani, naunga mkono muda utaeleza
 
Katika vizazi vilivyokosa upembuzi basi waarabu wanaongoza.
Sasa unawalaumu nini Palestina. Aljazeera pia iliwahi kuwa chanzo cha mgogoro wa Saudi Arabia na Qatar mpaka kwenye blockade ya Saudia kulikuwepo na sharti gumu la kuitaka Qatar iifunge kabisa Aljazeera.

Misri iliingia mgogoro na Aljazeera kwenye report ya kundi la Muslim Brotherhood. Usalama wa taifa wa Misri waliona ni kundi na extremists na watakuja kuua nchi baadae, Aljazeera wao wanashupalia kulifanya kama kundi kombozi la ulimwengu wa Kiislamu.

Pale Syria vilevile kwenye civil war Aljazeera ilikuwa inafanya kama juhudi binafsi za kuhamamasisha wananchi waunge juhudi kuipinga serikali. Yani wananchi kwenye Facebook wakitangaza kuandamana mji fulani muda fulani, Aljazeera hao wanakomaa kutoa tangazo na maelekezo kwa kujificha kwenye "habari".

Pale Gaza inadai almost wanawake na watoto pekee ndio wanakufa. Ukija Syria na maeneo ya Wakurdi wanawake na watoto hawafi wanakufa wanaume tu.

Aljazeera single handedly imehusika kuisambaza Arab Spring na kuleta machafuko Middle East. Mpango mkakati wa Qatar kuwa kasupapawa kadogo unatimizwa na kumiliki utoaji wa habari. Serikali ambayo Qatar haipendi basi Aljazeera inaikalia kuti kavu, serikali inayopendwa na Qatar mfano kama Uturuki aah kimya kwenye madhambi yake.
 
Chama tawala cha Fatah cha Mamlaka ya Palestina (PA) kimepiga marufuku shirika la habari la Al Jazeera lenye makao yake nchini Qatar kufanya kazi katika maeneo ya Judea na Samaria, likilituhumu kwa uchochezi, miezi kadhaa baada ya Israel kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa ripoti ya World Israel News Staff, Mamlaka ya Palestina imepiga marufuku mtandao wa Al Jazeera kufanya shughuli zake ndani ya maeneo ya uhuru wa Judea na Samaria, kwa mujibu wa ripoti ya chombo cha habari cha Israeli, Walla.
Ripoti hiyo ilidai kuwa chama tawala cha Palestina, Fatah, kilitoa marufuku hiyo katika sehemu za Maeneo A na B – sehemu mbili za Judea na Samaria zilizo chini ya udhibiti wa kiraia wa PA – kutokana na jinsi Al Jazeera inavyoripoti kuhusu vurugu zinazoendelea kati ya Kikosi cha Usalama wa Taifa cha Palestina (PNSF) – polisi ya kijeshi ya PA – na muungano wa makundi ya kigaidi yanayofanya kazi katika mji wa kaskazini wa Samaria, Jenin.
Ripoti hiyo ilisema kuwa Fatah imelituhumu Al Jazeera kwa “kusababisha migogoro na uchochezi” dhidi ya juhudi za PA za kudhibiti machafuko ya wananchi, ikiwemo mapigano katika Jenin.
Kwa miezi kadhaa, vikosi vya PNSF vimejaribu kudhibiti machafuko ya wananchi katika maeneo ya Judea na Samaria.
Mapema mwezi huu, vikosi vya PNSF vilivamia Jenin kupambana na Kikundi cha Jenin Brigades, muungano wa makundi ya kigaidi, yakiwemo Hamas, ambayo yamekuwa yakidhibiti mji huo tangu mwaka 2022.
Tangu Desemba 5, vikosi vya PA vimekuwa vikikabiliana na Kikundi cha Jenin Brigades wakiwa wanajaribu kurejesha udhibiti wa mji huo.
Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Palestina, Walla iliripoti kwamba uamuzi huo unalenga hasa shughuli za Al Jazeera katika Samaria, ikijumuisha miji ya Shechem (Nablus), Jenin, Tubas, Tulkarem, Qalqilya, na Salfit.
PA inaripotiwa kulituhumu shirika hilo la Qatar kwa kuripoti kwa upendeleo kwa niaba ya Hamas, ikirejea madai yaliyotolewa na Israel wakati wa vita dhidi ya kundi hilo la kigaidi lenye makao yake Gaza.
“Tumeamua kupiga marufuku kuingia kwa Al Jazeera, na tunawahimiza wananchi kutojihusisha kwa njia yoyote na kituo hiki,” ripoti hiyo ilinukuu chama cha Fatah kikisema.
“Al Jazeera ina jukumu hatari nchini Palestina. Inasambaza chuki na kuchochea vita vya wenyewe kwa wenyewe. Al Jazeera inaunga mkono wavunjaji wa sheria na inajaribu kuwaonyesha kama mashujaa wanaopigana dhidi ya ukoloni.”
Mwezi Mei, serikali ya Israel ilipitisha uamuzi wa kuzuia Al Jazeera kufanya kazi nchini humo, ikilituhumu kwa kuendeleza makundi ya kigaidi, yakiwemo Hamas, ambapo marufuku hiyo ilianza kutekelezwa na kusababisha kufungwa kwa shughuli za shirika hilo nchini Israel.

Links:

Al Jazeera condemns Fatah campaign against it in West Bank

Al Jazeera slams Fatah, Palestinian Authority over northern West Bank operations ban
Haya maeneo ya YUDEA na SAMARIA kwenye biblia si yalikuwa maeneo halali kabisa ya WAYAHUDI? Hawa waarabu wameyapatate?
 
Sasa unawalaumu nini Palestina. Aljazeera pia iliwahi kuwa chanzo cha mgogoro wa Saudi Arabia na Qatar mpaka kwenye blockade ya Saudia kulikuwepo na sharti gumu la kuitaka Qatar iifunge kabisa Aljazeera.

Misri iliingia mgogoro na Aljazeera kwenye report ya kundi la Muslim Brotherhood. Usalama wa taifa wa Misri waliona ni kundi na extremists na watakuja kuua nchi baadae, Aljazeera wao wanashupalia kulifanya kama kundi kombozi la ulimwengu wa Kiislamu.

Pale Syria vilevile kwenye civil war Aljazeera ilikuwa inafanya kama juhudi binafsi za kuhamamasisha wananchi waunge juhudi kuipinga serikali. Yani wananchi kwenye Facebook wakitangaza kuandamana mji fulani muda fulani, Aljazeera hao wanakomaa kutoa tangazo na maelekezo kwa kujificha kwenye "habari".

Pale Gaza inadai almost wanawake na watoto pekee ndio wanakufa. Ukija Syria na maeneo ya Wakurdi wanawake na watoto hawafi wanakufa wanaume tu.

Aljazeera single handedly imehusika kuisambaza Arab Spring na kuleta machafuko Middle East. Mpango mkakati wa Qatar kuwa kasupapawa kadogo unatimizwa na kumiliki utoaji wa habari. Serikali ambayo Qatar haipendi basi Aljazeera inaikalia kuti kavu, serikali inayopendwa na Qatar mfano kama Uturuki aah kimya kwenye madhambi yake.
Kwa muktadha uliousema media zote zipo hivo hivo hasa uko western.

Akifa myahudi " 5 people killed by ..."

Akifa muarabu "5 people died"
 
Sasa unawalaumu nini Palestina. Aljazeera pia iliwahi kuwa chanzo cha mgogoro wa Saudi Arabia na Qatar mpaka kwenye blockade ya Saudia kulikuwepo na sharti gumu la kuitaka Qatar iifunge kabisa Aljazeera.

Misri iliingia mgogoro na Aljazeera kwenye report ya kundi la Muslim Brotherhood. Usalama wa taifa wa Misri waliona ni kundi na extremists na watakuja kuua nchi baadae, Aljazeera wao wanashupalia kulifanya kama kundi kombozi la ulimwengu wa Kiislamu.

Pale Syria vilevile kwenye civil war Aljazeera ilikuwa inafanya kama juhudi binafsi za kuhamamasisha wananchi waunge juhudi kuipinga serikali. Yani wananchi kwenye Facebook wakitangaza kuandamana mji fulani muda fulani, Aljazeera hao wanakomaa kutoa tangazo na maelekezo kwa kujificha kwenye "habari".

Pale Gaza inadai almost wanawake na watoto pekee ndio wanakufa. Ukija Syria na maeneo ya Wakurdi wanawake na watoto hawafi wanakufa wanaume tu.

Aljazeera single handedly imehusika kuisambaza Arab Spring na kuleta machafuko Middle East. Mpango mkakati wa Qatar kuwa kasupapawa kadogo unatimizwa na kumiliki utoaji wa habari. Serikali ambayo Qatar haipendi basi Aljazeera inaikalia kuti kavu, serikali inayopendwa na Qatar mfano kama Uturuki aah kimya kwenye madhambi yake.
Hizi ni propaganda tu ambazo wewe umezimeza na ukaamua kuziamini.
*Palestina sio tu Aljazeera ndiye anayetangaza kuwa wanaokufa sana ni wanawake na watoto,hata CGTN na Africa news Channel wametangaza sawia na walivyotangaza Aljazeera.
Kwahiyo unataka kusema nao China wanawasujudu Aljazeera kwa habari!?
*Kuhusu Muslim brotherhood ,kisa cha muslim brotherhood ya kina Mohammed Morsi kuenguliwa ni ufadhili wa USA kuipindua hiyo serikali ambayo ilikua inaiunga mkono Gaza na si vinginevyo,na hadi leo hii wapo wanaoikumbuka Muslim brotherhood hadi sasa hapo Misri msiisingizie Aljazeera.
As well as Syria usitake kuongopa kuwa Aljazeera ilikua haitangazi vifo vya wanawake na watoto, Aljazeera ilitoa hadi kipindi katika stream yake ya Aljazeera the stream ikizungumzia mateso ya watu gerezani kipindi cha Assad,ikaja kuelezea kuhusu uanzishwaji wa makundi ya kiitikadi pale Syria ikiwemo YPJ hadi Uturuki iliguswa kwa upande wake.

Hao waarabu wakishaguswa tawala zao huwa wanafiki kugeuka wenzao.
Usituhadae mkuu tupo tunaona na tunaelewa yanayoendelea.
 
Bora wabantu kaka.
Wabantu kinachotugharimu ni UBINAFSI NA ULAFI.
Hivi vitu viwili vinatufanya tunakua tofauti.
Ila waarabu akili butu mkuu.
😁😁Mbona kinyonge sana leo mkuu?

Siku zote unawafagilia leo unawaita akili butu, mara wanageukana ndo maana wanateseka! Mbona kama nawe unawageuka sasa?
 
Hili kwa waarabu kugeukana ni kawaida.
Ndio maana waarabu duniani hawaishi kuteseka kwa tabia ya kugeukana.
Watakuja kuikumbuka Aljazeera hao PA muda utaongea.
Aljazeera pekee ndio ilikua inafanya coverage za ndani kabisa hapo kwao,na Aljazeera iliendesha kampeni nyingi tu za uhuru wao.
Subiri muda utaongea.
😁
 
Chama tawala cha Fatah cha Mamlaka ya Palestina (PA) kimepiga marufuku shirika la habari la Al Jazeera lenye makao yake nchini Qatar kufanya kazi katika maeneo ya Judea na Samaria, likilituhumu kwa uchochezi, miezi kadhaa baada ya Israel kufanya hivyo.
Kwa mujibu wa ripoti ya World Israel News Staff, Mamlaka ya Palestina imepiga marufuku mtandao wa Al Jazeera kufanya shughuli zake ndani ya maeneo ya uhuru wa Judea na Samaria, kwa mujibu wa ripoti ya chombo cha habari cha Israeli, Walla.
Ripoti hiyo ilidai kuwa chama tawala cha Palestina, Fatah, kilitoa marufuku hiyo katika sehemu za Maeneo A na B – sehemu mbili za Judea na Samaria zilizo chini ya udhibiti wa kiraia wa PA – kutokana na jinsi Al Jazeera inavyoripoti kuhusu vurugu zinazoendelea kati ya Kikosi cha Usalama wa Taifa cha Palestina (PNSF) – polisi ya kijeshi ya PA – na muungano wa makundi ya kigaidi yanayofanya kazi katika mji wa kaskazini wa Samaria, Jenin.
Ripoti hiyo ilisema kuwa Fatah imelituhumu Al Jazeera kwa “kusababisha migogoro na uchochezi” dhidi ya juhudi za PA za kudhibiti machafuko ya wananchi, ikiwemo mapigano katika Jenin.
Kwa miezi kadhaa, vikosi vya PNSF vimejaribu kudhibiti machafuko ya wananchi katika maeneo ya Judea na Samaria.
Mapema mwezi huu, vikosi vya PNSF vilivamia Jenin kupambana na Kikundi cha Jenin Brigades, muungano wa makundi ya kigaidi, yakiwemo Hamas, ambayo yamekuwa yakidhibiti mji huo tangu mwaka 2022.
Tangu Desemba 5, vikosi vya PA vimekuwa vikikabiliana na Kikundi cha Jenin Brigades wakiwa wanajaribu kurejesha udhibiti wa mji huo.
Kwa mujibu wa ripoti za vyombo vya habari vya Palestina, Walla iliripoti kwamba uamuzi huo unalenga hasa shughuli za Al Jazeera katika Samaria, ikijumuisha miji ya Shechem (Nablus), Jenin, Tubas, Tulkarem, Qalqilya, na Salfit.
PA inaripotiwa kulituhumu shirika hilo la Qatar kwa kuripoti kwa upendeleo kwa niaba ya Hamas, ikirejea madai yaliyotolewa na Israel wakati wa vita dhidi ya kundi hilo la kigaidi lenye makao yake Gaza.
“Tumeamua kupiga marufuku kuingia kwa Al Jazeera, na tunawahimiza wananchi kutojihusisha kwa njia yoyote na kituo hiki,” ripoti hiyo ilinukuu chama cha Fatah kikisema.
“Al Jazeera ina jukumu hatari nchini Palestina. Inasambaza chuki na kuchochea vita vya wenyewe kwa wenyewe. Al Jazeera inaunga mkono wavunjaji wa sheria na inajaribu kuwaonyesha kama mashujaa wanaopigana dhidi ya ukoloni.”
Mwezi Mei, serikali ya Israel ilipitisha uamuzi wa kuzuia Al Jazeera kufanya kazi nchini humo, ikilituhumu kwa kuendeleza makundi ya kigaidi, yakiwemo Hamas, ambapo marufuku hiyo ilianza kutekelezwa na kusababisha kufungwa kwa shughuli za shirika hilo nchini Israel.

Links:

Al Jazeera condemns Fatah campaign against it in West Bank

Al Jazeera slams Fatah, Palestinian Authority over northern West Bank operations ban
Haijalishi, hata hao Israel wamewapiga marufuku lakini habari zao tunazipata kutokea Amman kwake Nour Odeh.
 
😁😁Mbona kinyonge sana leo mkuu?

Siku zote unawafagilia leo unawaita akili butu, mara wanageukana ndo maana wanateseka! Mbona kama nawe unawageuka sasa?
Mie husimama katika ukweli siku zote.
Middle east mtu nayemuunga mkono hadi mwisho ni Iran,waajemi huwa hawanaga kauli mbili mbili,sio hao waarabu ni mtihani.
 
Hizi ni propaganda tu ambazo wewe umezimeza na ukaamua kuziamini.
*Palestina sio tu Aljazeera ndiye anayetangaza kuwa wanaokufa sana ni wanawake na watoto,hata CGTN na Africa news Channel wametangaza sawia na walivyotangaza Aljazeera.
Kwahiyo unataka kusema nao China wanawasujudu Aljazeera kwa habari!?
*Kuhusu Muslim brotherhood ndio huna unalolijua mkuu,we kaa tulia chambua silaha,kisa cha muslim brotherhood ya kina Mohammed Morsi kuenguliwa ni ufadhili wa USA kuipindua hiyo serikali ambayo ilikua inaiunga mkono Gaza na si vinginevyo,na hadi leo hii wapo wanaoikumbuka Muslim brotherhood hadi sasa hapo Misri msiisingizie Aljazeera.
As well as Syria usitake kuongopa kuwa Aljazeera ilikua haitangazi vifo vya wanawake na watoto, Aljazeera ilitoa hadi kipindi katika stream yake ya Aljazeera the stream ikizungumzia mateso ya watu gerezani kipindi cha Assad,ikaja kuelezea kuhusu uanzishwaji wa makundi ya kiitikadi pale Syria ikiwemo YPJ hadi Uturuki iliguswa kwa upande wake.

Hao waarabu wakishaguswa tawala zao huwa wanafiki kugeuka wenzao.
Usitudanganye mkuu tupo tunaona na tunaelewa yanayoendelea.
Aljazeera iliwahi zungumzia involvement ya Qatar kwa Al Shabaab ya Somalia?

Aljazeera iliwahi zungumzia mikakati maalum ya Qatar kushawishi kuanguka kwa tawala za Kiarabu? Unahisi ilikuwa bahati mbaya Aljazeera kufanya coverage ya Arab Spring kuanzia Tunisia, Libya, Misri, Syria?

Aljazeera wameishazungumzia Qatar inavyotoa silaha kwenye vita ya Sudan?

Je Aljazeera wamezungumzia jinsi Qatar ilivyokuwa nchi ya kwanza ya Kiarabu kuunga mkono waasi wa Libya kumtoa Gaddafi? Walitoa fedha nyingi, mafuta, msaada kidiplomasia kabla hata NATO hawajaingia.

Umejiuliza wanafanya kwa faida ya nani.

Kama Muslim Brotherhood ni kundi zuri, Qatar au Turkey lipo?
Huu kama sio upumbavu ni nini, yaani Muslim Brotherhood inapewa support na Qatar na Turkey itawale Egypt na nchi nyingine, ila kwa supporters haitakiwi. Sasa intelligence agencies za hizo nchi zikikataa influence ya Qatar ndio unasema tawala zao haziitaki Aljazeera.
Wewe ulisikia wapi North Korea inalazimisha vuguvugu za kidemokrasia kwenye nchi nyingine, ila kwake haitaki demokrasia.

Syria hapo Aljazeera ilisema watu wanavyokufa, Gaza ilikuwa inapendelea kusema wanakufa watoto na wanawake.

Ndio maana mwaka 2017 Waarabu kina Misri na Saudi walitaka waitandike Qatar ikakimbilia kuleta majeshi ya Uturuki na kununua silaha kwa fujo, ina bahati ina kambi za Marekani.

Hawazingatii progress ya Waarabu, hawasisitizi innovation au prosperity, wao wanasubiri kichafuke wakashadadie magaidi na waasi kuharibu nchi za Kiarabu. Wewe ukiwa na jirani anatangaza unavyopigana na mke wako, ulivyochepuka, ulivyoshindwa ada ya watoto, ila ukinunua gari hasemi; vibaka wanaiba kwako wanaenda kujificha kwake anawahifadhi, anachangia wabaya wako. Huyo si ni wa kukata mawasiliano nae.
 
Back
Top Bottom