Mamlaka ya uteuzi iwe makini na uteuzi wa Mawaziri wa maeneo haya

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Wasalaam JF,

Nitoe rai na angalizo kwa maslahi mapana ya usalama, ulinzi yazingatiwe, vizazi na vizazi vya hao watu na iwe Mvua, iwe jua, iwe mbalamwezi iwe Giza totoro, kuchunguza muhimu sana, sina wivu na mtu bali kwa maslahi ya taifa, utaifa na uzalendo.

Sio kila mtu ni wa kumpeleka wizara nyeti hasa Ulinzi, Mambo ya Nje, Mambo ya Ndani, Wizara ya Fedha. Kuna watu waishie kuwa Wabunge tu.

Sijabahatisha kutoa angalizo hili namaanisha uzalendo kweli, classes na wigo vinamaana yake.

Wadiz
 
Wengi Hawajiwezi Kwenye Nafasi Zao
Mpaka Unashangaa Teuzi Zimekuwa Legelege Mno
 
Well said,ila kwa ukilaza wa nchi hii basi tena!
 
mtu mweusi tangu lini akawa na uzalendo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…